https://www.google.com/android/devicemanager
fanya kupitia hapo kwanza halafu uone utaambiwa nini kwa sasa.
Maana kuna option ya kuifanya itoe mlio,kulock, au kuformat. Kwa inshu yako fanya haraka haraka kaba haijawa wiped {hard reset} yawezekana ukambulia chochote kama aliyeiiba hajafanya lolote mpaka sasa.
Kila la kheri.