nimeibiwa ipad 2

kingtz

Member
Joined
Oct 24, 2011
Posts
36
Reaction score
3
wana forum salam za mwaka mpya kwangu nimuuanza kwa kuibiwa
nimeibiwa ipad ilikuwa na information muhimu sana kwa yoyote atakaye fanikisha kuipata zawadi nono itatolewa . wizi umetokea jtano 15/1/2014 dar es salaam wakati inaibiwa ilikuwa na line ya voda na ilikuwa nasalio la kutosha

naamini wataalam wa mitandao watu wa usalama wapo
my no is 0754 479518 kwa ambaye yupo interested kunisaidia kazi njema.
 
daaha muachie mungu tuu maana we mwenyewe unaijua kwa jina tuu ..sidhani kama una detal za kutosha na hiyo ipad...ila pole sana ..tangu tarehe 15 /1/14 had leo we unafikiri mwizi huyo ni mjinga kias gan..... wanausalama msaidieni mwenzetu kalizwa
 
dah, ndugu c useme ukweli. nilikua nakudai nimekupora
 
Uli-install tracking/security app gani?
 
Uzuri wa hii kitu unaweza kumtumia jamaa ujumbe akiingia kwa net tu anapata.
Mshawishi kuwa utampatia pesa kidogo otherwise atauza parts tu, ingia Kwa account yako ya iCloud alafu enable lost mode.
Hapo hataweza tena kutumia
 
likuwa na ios ya zamani 6 ilikuwa bado cja upgrade

mawazo yangu ni kwamba kwa vyile nilikuwa natumia line ya voda IME kunauwezekano voda wakanipa ime yake kwa sababu najua unapofanya mawasiliano yoyote lazima IME iwe recorded

ishi ni wapi pa kuanzia
 
TCRA si walisema no ziwe recorded ina mana Voda wanadetail zote za no gani inatumika kwenye device ipi yenye ime gani na kwa sasa hio ime inatumika na no gani mtandao gani na hio line ni ya nani ?
 

Toka tarehe 15 mpaka tarehe 22 ndiyo unauliza suluhishi?! By now kama ni mjanja atakuwa kashaondoa akaunti ----. Jaribu kubahatisha, ingia www.icloud.com ingiza Apple ID na password uliyokuwa unatumia kwenye ipad yako kiasha angalia kwenye My Devices uone kama utaiona hewani, then set hiyo iPad kwenye Lost Mode, kama hajaondoa email yako kule hiyo iPad akiingia online tu itajifunga, na itadisplay ujumbe utaouandika wewe kwenye screen, hataweza kuitumia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…