Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,320
- 105,724
Ukishaamini Mungu yupo, kimsingi unakosa sababu ya kukataa kuamini uwepo wa shetani na uchawi.nimekwambia naamini mungu yupo,,,ila shetani jini sijui uchawi hivyo vyote siamini hata dhambi siamini kama kuna dhambi
Unaamini Mungu gani?