Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Nilikua nachati na mke wa mpangaji kumbe wife alidaka simu akawa a nachati na mimi ahadi Mida ya jioni tukutane gest.. Lahaulaa kumbe anakuja wife dadeki mtiti ule siwezi rudi maskani nipo huku mtaa wa 4 naombeni ushauri. Kule skani jamaa atanifikiriaje kwa wife wake.