katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
Huo ni umbeya achana na maisha ya watu wewe angalia yako.
Hivi kwanini mtu ahangaike namaisha ya watu na anayake.
Hivi kwanini mtu ahangaike namaisha ya watu na anayake.
Ushauri mzuri sana mkuu.Wakalishe chini hao rafiki zako uwape ukweli wote unaoujua kwa huyo dada.
Anashindanisha TENDA????Hapo mdada wa watu anawashindanisha,wa kwanza kuoa ndio mume wake haha binti janja sana hyo
acha umbea...mambo kama haya hayaingiliwi....we hujifunzi kila siku humu watu wanapost....mwishoni wataelewana watarudiana tena utaonekana ulikuwa mmbea unataka kuharibu mapenzi ya watu kisa unajifanya kusema ukweli uliouona...sio kila kitu ni cha kusema...mapenzi never interfere...hata pale angm=emla mbele yako we unasepa tu....fanya yako,.Stori iko hivi, weekend moja jamaa yangu wa karibu sana akanialika kwenye mazungumzo ya faragha kipindi tuko chuo. Alitaka kunitambulisha kwa mpenzi wake ambaye wamekubaliana kuanza mchakato wa kuoana. Nikawapongeza na kuwaahidi ushirikiano kutoka kwangu.
Siku nyingine rafiki yangu huyu akawa anamwelezea jinsi anavyofaa kuwa mke wake yule binti, moja ya sifa ni kwamba anaweza kuongea kisukuma, pili ni wa nyumbani, na ni mtiifu kwa hiyo jamaa aliwaambia wazazi waanze maandalizi ya mchakato.
Baada ya kama wiki 3 hivi tangu siku nimetambulishwa, rafiki yangu mwingine alikuwa anasoma Muhimbili akaniomba niende kwake computer yake inasumbua nikairekebishe, tikapanga siku siku yenyewe nikiwa nashughulikia computer huku tunapiga story, kama kawaida Yetu kipindi hicho.
Akaanza kunisimulia habari za mahusiano yake na mdada mmoja hivi akasema alikuwa hajawahi kutongozwa na mdada lakini mwaka ule imetokea alikuwa nyumbani Maswa ndipo alipokutana na hiyo request kutoka kwa mdada na wamekuwa wakiendelea na mapenzi kwa takribani miezi 2.
Mdada aliyekuwa anamsemea ndiye yule niliyetambulishwa kwake jana kuwa anataka kuanza mchakato wa kufungandoa na rafiki yangu yule mwingine huu ulikuwa mtihani wangu mkubwa sana sikumwonyesha ishara yoyote ya kushtuka niliendelea kumsikiliza na kumdodosa zaidi.
Unaweza ukafikiri ni movie vile kwa maana haikupita nusu saa yule dada akapiga simu kuwa anakuja hapo room kwa jamaa, jamaa akafurahi sana akasema njoo dakika 20 nyingi dada akafungua mlango uso kwa uso na mimi akiwa hajui kama tumemwongelea ilibidi ajifanya kushangaa akaonyesha mshangao fake, huku akiuliza.
"kumbe na wewe huwa unafika huku?" Lakini hakutaja neno shem, kama ilivyo kawaida yake rafiki yangu akauliza, "ina maana mnafahamiana?" Nikawahi kujibu "Ndiyo, huyo ni wa Maswa." Sikusema kitu kingine zaidi, nikakaa kimya kama sijui chochote.
Basi mle chumbani tukawa watatu, basi rafiki yangu akawa yuko busy akimpetipeti mpenzi wake, lakini mpenzi mwenye haonekani kuwa tayari hata kukumbatiwa kimahaba
basi mimi nikamaliza kazi yangu nikawaaga, nikawatakia kazi njema kilichofuata baada ya hapo ni mimi kuwaza nifanyeje next
Option ya kwanza ni kukaa kimya kama sijaona chochote, yaani niwaambie marafiki zangu wote hawa juu upande wa pili wa shiringi kuhusu huyu mpenzi wao wote ni marafiki zangu na tumetoka Maswa pamoja, na wao ni marafiki pia, tena wamesoma shule moja A level ile waliachana mwaka mmoja tu, na wanaheshimiana sana.
Option nyingine niliyoifikiria ni kumweleza yule ambaye anataka kuoa ili atambue kwa sababu nilijiuliza vipi akifunga ndoa halafu baadae katika maisha wakashindana tabia and then akaja kugundua kuwa mimi nilishuhudia kitu kama kile lakini niliamua kuaa kimya kama sijui na kumuacha aangamie nikiwa naona, je huo ndiyo urafiki wa kweli?
Wote si washikaji zako?? Basi waambie ukweli atakaetaka kuendelea na hatua zaid aendeleeStori iko hivi, weekend moja jamaa yangu wa karibu sana akanialika kwenye mazungumzo ya faragha kipindi tuko chuo. Alitaka kunitambulisha kwa mpenzi wake ambaye wamekubaliana kuanza mchakato wa kuoana. Nikawapongeza na kuwaahidi ushirikiano kutoka kwangu.
Siku nyingine rafiki yangu huyu akawa anamwelezea jinsi anavyofaa kuwa mke wake yule binti, moja ya sifa ni kwamba anaweza kuongea kisukuma, pili ni wa nyumbani, na ni mtiifu kwa hiyo jamaa aliwaambia wazazi waanze maandalizi ya mchakato.
Baada ya kama wiki 3 hivi tangu siku nimetambulishwa, rafiki yangu mwingine alikuwa anasoma Muhimbili akaniomba niende kwake computer yake inasumbua nikairekebishe, tikapanga siku siku yenyewe nikiwa nashughulikia computer huku tunapiga story, kama kawaida Yetu kipindi hicho.
Akaanza kunisimulia habari za mahusiano yake na mdada mmoja hivi akasema alikuwa hajawahi kutongozwa na mdada lakini mwaka ule imetokea alikuwa nyumbani Maswa ndipo alipokutana na hiyo request kutoka kwa mdada na wamekuwa wakiendelea na mapenzi kwa takribani miezi 2.
Mdada aliyekuwa anamsemea ndiye yule niliyetambulishwa kwake jana kuwa anataka kuanza mchakato wa kufungandoa na rafiki yangu yule mwingine huu ulikuwa mtihani wangu mkubwa sana sikumwonyesha ishara yoyote ya kushtuka niliendelea kumsikiliza na kumdodosa zaidi.
Unaweza ukafikiri ni movie vile kwa maana haikupita nusu saa yule dada akapiga simu kuwa anakuja hapo room kwa jamaa, jamaa akafurahi sana akasema njoo dakika 20 nyingi dada akafungua mlango uso kwa uso na mimi akiwa hajui kama tumemwongelea ilibidi ajifanya kushangaa akaonyesha mshangao fake, huku akiuliza.
"kumbe na wewe huwa unafika huku?" Lakini hakutaja neno shem, kama ilivyo kawaida yake rafiki yangu akauliza, "ina maana mnafahamiana?" Nikawahi kujibu "Ndiyo, huyo ni wa Maswa." Sikusema kitu kingine zaidi, nikakaa kimya kama sijui chochote.
Basi mle chumbani tukawa watatu, basi rafiki yangu akawa yuko busy akimpetipeti mpenzi wake, lakini mpenzi mwenye haonekani kuwa tayari hata kukumbatiwa kimahaba
basi mimi nikamaliza kazi yangu nikawaaga, nikawatakia kazi njema kilichofuata baada ya hapo ni mimi kuwaza nifanyeje next
Option ya kwanza ni kukaa kimya kama sijaona chochote, yaani niwaambie marafiki zangu wote hawa juu upande wa pili wa shiringi kuhusu huyu mpenzi wao wote ni marafiki zangu na tumetoka Maswa pamoja, na wao ni marafiki pia, tena wamesoma shule moja A level ile waliachana mwaka mmoja tu, na wanaheshimiana sana.
Option nyingine niliyoifikiria ni kumweleza yule ambaye anataka kuoa ili atambue kwa sababu nilijiuliza vipi akifunga ndoa halafu baadae katika maisha wakashindana tabia and then akaja kugundua kuwa mimi nilishuhudia kitu kama kile lakini niliamua kuaa kimya kama sijui na kumuacha aangamie nikiwa naona, je huo ndiyo urafiki wa kweli?
Pole sana mkuu ,wema wako ulitaka kukuponzaUshauri wangu piga kimya mkuu
Mie yalishanitokea hayo kuna dogo mmoja ni family friend naye ilitokea hivyo akatutambulisha mchumba ambaye alitaka kumuoa ila baadae nikaja mkuta gheto kwa jamaangu mwingine (hawafahamiani)
Nikaona sio poa nikamfuata kijana muoaji nikamchana awe makini na huyo manzii asikurupuke kumuoa kabla amchunguze na iwe siri asimwambie demu kuwa nimemtonya kitu
Lakn cha ajabu dogo kaenda kumwambia demu kila kitu then demu akageuza kibao kwa dogo kwamba mie ninamtongoza ndo maana namjaza maneno ya uongo ili waachane dogo akaja akiwa moto na kuniogesha matusi mazito mbele ya watu akiwa na huyo demu.
Ila Mungu sio Juma lokole haikuchukua hata miezi sita walifumaniana kabisa ndipo dogo akakumbuka ushauri wangu