Inno laka
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 1,616
- 583
Ndungu zangu wana jf..'npo kwenye mahusiano ya kimapenz na binti mmoja hv lakn nimekuja kugundua ni bonge la kicheche alaf mimi ninavyompenda yaani basi sijui nijinasue vipi tu..'juzi hapa nikawa nimekaa na rafiki yangu mmoja hv kama unavyojua siku hz,,mtandao wa voda unavyosumbua nikawa nimemuazima cm ake nikaingiza namba za huyo nayesema dem angu kumbe looo n zaid mamba kwenye screen ikajichora my dear.,.'vumbi hlo lilinichosha ila nikapotezea tu nikatoka siku moja kwenda bar huko nikamfuma lakni sikutaka kumuambia nikaziua tu wanajf m naomben mnishauri..