Yanahusu nini ? Weka wazi..Nimekuta mawasiliano kwenye simu yake.
Ondoka muache kwasababu ndoa bila tendo hilo siyo ndoa, sababu unayo Ila nia sijajua.Sio mara ya kwanza ndugu. Niliwahi kumkamata na sms za kumuomba mwanamke hiyo kitu nikashangaa na kumsema sana lakini ameendelea.inaniuma sanaa
Hongera kwa kukaa kusubiria magonjwa!Sio mara ya kwanza ndugu. Niliwahi kumkamata na sms za kumuomba mwanamke hiyo kitu nikashangaa na kumsema sana lakini ameendelea.inaniuma sanaa
Hapo sasa kuna mawili, kwanza anachepuka, pili anapenda kinyume na maumbile. Inahitaji maongezi ya busara sana ili akuelewe. maana huo ni ulevi mbaya sana..Nimekuta mawasiliano kwenye simu yake.
Kuna wakati watu hutaman kujaribu jambo flani (kufanya kinyume) sasa wewe umekuta anaomba kufanya/kufanywa ama tayari alisha timiza amebaki sifia vile ni tamuuuuNimekuta mawasiliano kwenye simu yake.
Kwamba anafanya au anafanywa???Nimekuta mawasiliano kwenye simu yake.