Nimegundua kwanini wahindi/waarabu wakifariki biashara zao hazifi

Greg50

JF-Expert Member
Feb 11, 2014
1,953
2,431
Za asubuhi wanaJF,

Katika pitapita zangu leo nikabahatika kuskia maongezi ya kikao cha management ya moja ya biashara kubwa hapa mjini ya mhindi. Kikao hicho walikuwepo mamanager kadhaa watu wazima wa kama miaka 50 hivi, pia alikuwepo boss na mwanae wa kike (kwa muonekano ana kama miaka kati ya 18 hadi 20 hajazidi hapo).

Basi nikajua boss ndio ataongoza kikao kile lakini cha kushangaza mwanae ndie aliongoza kikao mwanzo mwisho. Tena alikua anaongea kwa confidence kubwa na mamanager wale, anauliza kwanini wafanyakazi wanachelewa kazini, mipango ikoje kwa wiki zijazo na mambo mengine nyeti. Boss aliingilia sehemu chache tuu alipoona mwanae anakwama.

Baada ya kikao nikawaza sisi wabongo tunafanyaga hivi kweli? Au ndio mtoto anajua tu wazazi wana biashara flani lakini hafahamu inaendeshwaje.
 
Za asubuhi wanaJF,

Katika pitapita zangu leo nikabahatika kuskia maongezi ya kikao cha management ya moja ya biashara kubwa hapa mjini ya mhindi. Kikao hicho walikuwepo mamanager kadhaa watu wazima wa kama miaka 50 hivi, pia alikuwepo boss na mwanae wa kike (kwa muonekano ana kama miaka kati ya 18 hadi 20 hajazidi hapo).

Basi nikajua boss ndio ataongoza kikao kile lakini cha kushangaza mwanae ndie aliongoza kikao mwanzo mwisho. Tena alikua anaongea kwa confidence kubwa na mamanager wale, anauliza kwanini wafanyakazi wanachelewa kazini, mipango ikoje kwa wiki zijazo na mambo mengine nyeti. Boss aliingilia sehemu chache tuu alipoona mwanae anakwama.

Baada ya kikao nikawaza sisi wabongo tunafanyaga hivi kweli? Au ndio mtoto anajua tuu wazazi wana biashara flani lakini hafahamu inaendeshwaje.
Sisi tuna ile kwamba mm nimeteseka kusoma Sasa hv nimefanikiwa sitaki mwanangu ateseke yaani unakuta boss mzito Ana mashamba, apartments za kupandisha, na Mali zingine lakini mwandae anazisikia tu hajawahi hata kwenda nae aujue uchungu wa kutafuta hela zaidi mtoto anajua kutapanya tu.
Nilikuwa na Rafiki yangu mwarabu fulani yaani yeye mtoto wake wa form three alikuwa akitoka shule anapitia ofisini kwake kwenda kupitia risits zote na kuandaa final accounts yaan huwezi amini jamaa alikuwa anachukua ripoti ya mhasibu na mwandae anazipitia na kumrekebisha mwandae anapokosea unadhani huyo mtoto baba ake akifa atashindwa iendesha kampuni?!
 
kitu tunachofeli tunazani mtt akifika 20 aged and above uko 25 ndo ananza kuonekan anaweza majukumu ,huku at that moment mtu haelewi mambo kibao majukumuu ndo yamemjaa sasa ww mtrain mtt in business since young uone anavo kuletea potential, na pia unamuandaa kwenye future inayoeleweka sio mtu anasoma tuu kamaliza chuo ndo unatafuta connection alafu kwenye kampun yako unamuajiri mtot wa mwingine .

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Sisi tuna ile kwamba mm nimeteseka kusoma Sasa hv nimefanikiwa sitaki mwanangu ateseke yaani unakuta boss mzito Ana mashamba, apartments za kupandisha, na Mali zingine lakini mwandae anazisikia tu hajawahi hata kwenda nae aujue uchungu wa kutafuta hela zaidi mtoto anajua kutapanya tu.
Nilikuwa na Rafiki yangu mwarabu fulani yaani yeye mtoto wake wa form three alikuwa akitoka shule anapitia ofisini kwake kwenda kupitia risits zote na kuandaa final accounts yaan huwezi amini jamaa alikuwa anachukua ripoti ya mhasibu na mwandae anazipitia na kumrekebisha mwandae anapokosea unadhani huyo mtoto baba ake akifa atashindwa iendesha kampuni?!
Karibuni nilienda kununua simu duka la mwarabu fulani hapa zenji. Alieniandikia risiti ni mtt wa miaka kama 11 ivi. I found it interesting.

Wenzetu wapo serious kwa kweli
 
Ya
Karibuni nilienda kununua simu duka la mwarabu fulani hapa zenji. Alieniandikia risiti ni mtt wa miaka kama 11 ivi. I found it interesting.

Wenzetu wapo serious kwa kweli
Yaan unakuta huyo mtoto mpaka afike 25 anaexperience ya kutosha kwenye business kuliko walihitimu vyuo maana anajua ups and downs za business, namna ya kuinvest na risk zake hata anaweza foresee future ya business Sasa hawa wetu akijua baba Ana hela yy kula kulala hataki kwenda hata shamba kusimamia na kujifunza na ukimdiscipline wife anaingilia Kati eti unamtesa mwanae kutwa kushinda kwenye magemu, fifa, unazi wa mpira usio na msingi na movie kweli hapo kwann ukifa wasiwe masikioni wa kutupwa na kuanza kumlaumu watu kuwa hawawasaidii mbona baba Yao aliwasaidia. Hawataki kuwa responsible na future zao
 
Ya

Yaan unakuta huyo mtoto mpaka afike 25 anaexperience ya kutosha kwenye business kuliko walihitimu vyuo maana anajua ups and downs za business, namna ya kuinvest na risk zake hata anaweza foresee future ya business Sasa hawa wetu akijua baba Ana hela yy kula kulala hataki kwenda hata shamba kusimamia na kujifunza na ukimdiscipline wife anaingilia Kati eti unamtesa mwanae kutwa kushinda kwenye magemu, fifa, unazi wa mpira usio na msingi na movie kweli hapo kwann ukifa wasiwe masikioni wa kutupwa na kuanza kumlaumu watu kuwa hawawasaidii mbona baba Yao aliwasaidia. Hawataki kuwa responsible na future zao
Tunaharibu kweli wakati mwengine.
 
Ya

Yaan unakuta huyo mtoto mpaka afike 25 anaexperience ya kutosha kwenye business kuliko walihitimu vyuo maana anajua ups and downs za business, namna ya kuinvest na risk zake hata anaweza foresee future ya business Sasa hawa wetu akijua baba Ana hela yy kula kulala hataki kwenda hata shamba kusimamia na kujifunza na ukimdiscipline wife anaingilia Kati eti unamtesa mwanae kutwa kushinda kwenye magemu, fifa, unazi wa mpira usio na msingi na movie kweli hapo kwann ukifa wasiwe masikioni wa kutupwa na kuanza kumlaumu watu kuwa hawawasaidii mbona baba Yao aliwasaidia. Hawataki kuwa responsible na future zao
Tunaharibu wenyewe wakati mwengine. Utadhani sie wenyewe tumelelewa kimayai kumbe tumechezea kipondo cha kufa mtu
 
Inasikitisha mno kwa kweli yan kuna mfano wa mzee mmoja kavuta daaaaah basi tu sijui watu weusi tuna nn aisee
 
Tunafanyaje wakati toka wadogo tunawaambia hatutaki wateseke, kujifulia nguo zao hawawezi, kutandika kitaenda Chao sembuse hata kupalilia Majani tu nje unaita mtu aje unamlipa 50k wakati wao wapo tu. Mama zao wanawahonga ukikaza unaonekana dingi kauzu. Watoto wako wakiume Wanataka walelewe kama mayai ndio maana tunazalisha mashoga wengi halafu tunamlilia Mungu kumbe tumekosea kwenye malezi. Maisha sio rahisi kama wanavyotaka kulelewa
Tunaharibu wenyewe wakati mwengine. Utadhani sie wenyewe tumelelewa kimayai kumbe tumechezea kipondo cha kufa mtu tu nafanyaje
 
Tunafanyaje wakati toka wadogo tunawaambia hatutaki wateseke, kujifulia nguo zao hawawezi, kutandika kitaenda Chao sembuse hata kupalilia Majani tu nje unaita mtu aje unamlipa 50k wakati wao wapo tu. Mama zao wanawahonga ukikaza unaonekana dingi kauzu. Watoto wako wakiume Wanataka walelewe kama mayai ndio maana tunazalisha mashoga wengi halafu tunamlilia Mungu kumbe tumekosea kwenye malezi. Maisha sio rahisi kama wanavyotaka kulelewa
Kwa kweli yaani. Ila kuna familia wanawake (mama) ndio huwa strict zaidi ya wababa.

Sisi tumelelewa na single mother lkn tukiipata. Hatuna tulokua hatujajifanyia wenyewe. Mama hakuwa ana maskhara hata kdg.
Tunalima. Tunafua. Tunapika. Hadi kujenga tumejenga sisi.

Lkn sasa sie sijui tunakosea wapi tunashindwa kuiga malezi kama tulolelewa sie. Usasa mwingii
 
Za asubuhi wanaJF,

Katika pitapita zangu leo nikabahatika kuskia maongezi ya kikao cha management ya moja ya biashara kubwa hapa mjini ya mhindi. Kikao hicho walikuwepo mamanager kadhaa watu wazima wa kama miaka 50 hivi, pia alikuwepo boss na mwanae wa kike (kwa muonekano ana kama miaka kati ya 18 hadi 20 hajazidi hapo).

Basi nikajua boss ndio ataongoza kikao kile lakini cha kushangaza mwanae ndie aliongoza kikao mwanzo mwisho. Tena alikua anaongea kwa confidence kubwa na mamanager wale, anauliza kwanini wafanyakazi wanachelewa kazini, mipango ikoje kwa wiki zijazo na mambo mengine nyeti. Boss aliingilia sehemu chache tuu alipoona mwanae anakwama.

Baada ya kikao nikawaza sisi wabongo tunafanyaga hivi kweli? Au ndio mtoto anajua tu wazazi wana biashara flani lakini hafahamu inaendeshwaje.
Mmmh Nadhani hapa hapanihusu maana naona kama sielewi vile....... Hivi hao mamanager ndo kina nani hasa hao?
 
Nina rafiki angu mwarabu anaendaga India kufata mizigo! Next time anasema ataanza kwenda na mtoto wake wa kiume Ana miaka 5 ili aanze kujua Nini baba ake anafanya! Inapendezaaa
 
Za asubuhi wanaJF,

Katika pitapita zangu leo nikabahatika kuskia maongezi ya kikao cha management ya moja ya biashara kubwa hapa mjini ya mhindi. Kikao hicho walikuwepo mamanager kadhaa watu wazima wa kama miaka 50 hivi, pia alikuwepo boss na mwanae wa kike (kwa muonekano ana kama miaka kati ya 18 hadi 20 hajazidi hapo).

Basi nikajua boss ndio ataongoza kikao kile lakini cha kushangaza mwanae ndie aliongoza kikao mwanzo mwisho. Tena alikua anaongea kwa confidence kubwa na mamanager wale, anauliza kwanini wafanyakazi wanachelewa kazini, mipango ikoje kwa wiki zijazo na mambo mengine nyeti. Boss aliingilia sehemu chache tuu alipoona mwanae anakwama.

Baada ya kikao nikawaza sisi wabongo tunafanyaga hivi kweli? Au ndio mtoto anajua tu wazazi wana biashara flani lakini hafahamu inaendeshwaje.
Ubinafsi ndio kikwazo kikuu
 
1613167615553.png
 
Upo sahihi Mkuu yupo mhindi mmoja kila siku mtoto wake ndio anakagua kiwango cha diesel/petrol yaliouzwa hapo kwao daah mtoto mdogo lakini anajua majukumu yake inapendeza sana mtoto wangu nikija nae dukani wa umri ule ukitaka kumfumdisha Kwanza anakushangaa na pia anajua ni siku ya kupata vizawadi zawadi vya mjini anavyoviona...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom