Nimegundua Jambo Hili Kutoka Kwa Maprodyuza

STUNTER

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
13,077
17,208
Katika uchunguzi nilioufanya nimegundua kwamba maprodyuza wengi (karibia wote) wanavipaji vikubwa sana vya kuimba, na endapo wataamua kuingia kwenye tasnia ya uimbaji basi hutoa Hitsong kali sana.

NITATOA MIFANO MICHACHE
Mr. blue Ft Man Walter- Nipende Kama Nilivyo.
-Jay moe Ft P Funk- Famous
-Fid Q ft P funk - Danger
- Mswaki - Open letter(RIP Ngwair)
-Nah Reel( zote)
-Baghdad Ft Isam- Foleni
Roma ft Geof Master- Ivan
N.K

Hiyo ni baadhi ya mifano hai iliyonifanya niamini kwamba Maprodyuza wengi wana vipaji na hao wachache wamevidhihirisha kwa bahati mbaya bila ya wao kuamua.
 
Katika uchunguzi nilioufanya nimegundua kwamba maprodyuza wengi (karibia wote) wanavipaji vikubwa sana vya kuimba,
na endapo wataamua kuingia kwenye tasnia ya uimbaji basi hutoa Hitsong kali sana.
NITATOA MIFANO MICHACHE
Mr. blue Ft Man Walter- Nipende Kama Nilivyo.
-Jay moe Ft P Funk- Famous
-Fid Q ft P funk - Danger
- Mswaki - Open letter(RIP Ngwair)
-Nah Reel( zote)
-Baghdad Ft Isam- Foleni
Roma ft Geof Master- Ivan
N.K
Hiyo ni baadhi ya mifano hai iliyonifanya niamini kwamba Maprodyuza wengi wana Vipaji na hao wachache wamevidhihirisha kwa bahati mbaya bila ya wao kuamua.

utasema na Messen selekta nae anajua kuimba
 
Alafu sijui kwanini, tangu huu uvumi wa njaa uingie nimekuwa nikiumwa na njaa ovyo ovyo hata nikila kutwa mara nne, yani haipiti nusu saa njaa inauma upya, alafu ile njaa takatifu kabisa,
ha ha ha! kula ile kitu toto inakula huenda njaa itaisha
 
Katika uchunguzi nilioufanya nimegundua kwamba maprodyuza wengi (karibia wote) wanavipaji vikubwa sana vya kuimba,
na endapo wataamua kuingia kwenye tasnia ya uimbaji basi hutoa Hitsong kali sana.
NITATOA MIFANO MICHACHE
Mr. blue Ft Man Walter- Nipende Kama Nilivyo.
-Jay moe Ft P Funk- Famous
-Fid Q ft P funk - Danger
- Mswaki - Open letter(RIP Ngwair)
-Nah Reel( zote)
-Baghdad Ft Isam- Foleni
Roma ft Geof Master- Ivan
N.K
Hiyo ni baadhi ya mifano hai iliyonifanya niamini kwamba Maprodyuza wengi wana Vipaji na hao wachache wamevidhihirisha kwa bahati mbaya bila ya wao kuamua.
Madee ft P.funk- Haya yote maisha

Aisee bonge moja la collabo
 
Dj Maphorisa
-Soweto babe
-Ungowami

Dj Tira
-Original

Mzee Yusuph
Alikuwa mpiga kinanda tu akageuka shujaa wa taharabu.

Don Jazzy
 
1. ay ft marco chali part zone
2. godzilla ft marco chali
3. jay martin produced p.square hit songs
4. m.i produced yemi alade hits song
 
Back
Top Bottom