Mkuu ngoja nivumilie ila imeniuma sanaHahahah pole sana mkuu...mvumilivu hula mbivu
Mkuu nmeumia sana yana nmekula loss hahasa psychologically lossPole sana mkuu naona binti kaamua kukuchezea akili yako duuuu na hayo madkodko ulonunua hasara tupuu
Mkuu mi nlishatoka chaputa zamaniBei ya kipande cha sabuni ni mia mbili tu
Vipi mrejesho hadi sasa??Mkuu ngoja nivumilie ila imeniuma sana
Mkuu sina njaa mie sema kaniandaa kisaikolojia afu kaingia mitiniHivyo vitu ulivyonunua viweke kwenye friji vikusaidie kesho/keshokutwa maana njaa yako kali
Mkuu mi huwa sio mteja wa malipo ya kabla, af wanaume tushakubaliana kutotuma nauli.Alitegemea ungemtumia hela ya nauli au ungesema uende ukamchukue, kosa lako kubwa hukufanya ht moja kati ya hayo mawili.
Mm huwez ntoa kwangu kwa nauli yng hlf nije kwako unigegede na mwsho uniambie huna pesa unpe buku ya daladala, ntakumind sn.
Mi sio mteja wa malipo ya kabla ni mteja wa malipo ya baadaUlimtumia hata nauli ama ni kulia lia tu
Naona kuna mwindaji haram kafanya yakeKatiwa nguvuni na jamaa aliyekutangulia
Sijaomba mzigo kanitamkia yeye mkuu .sema hawa viumbe wamelaaniwaMakosa yako ni haya..
1. Kutongoza kwenye simu.
2. Kutaka mzigo wakati hamna hata siku mbili toka mjuane!
Pole sana kijana!
Nina box ndani mkuuMaandalizi yote sijaona popote ulipoandaa zana za kazi kwa afya yako......
Sasa nkikivunja kitecno changu si ntakosa pakuwa naingili JFnikajua kwa hasira ulizonazo utakivunjavunja ki tekno chako kumbe bado unajipa moyo uku ukisubiri mseji za kimwana
Mkuu huwa situmi nauli hata siku mojaMbona kipengele cha kumtumia Nauli umekiruka haujakiandika hapa mkuu?
Mi mwanaume wa mkoani situmii vumbi la BukavuUlipaka mkongo nn?
Hongera SanaNina box ndani mkuu
Huo ulikua mtego mkuu!! Ukisema wamelaaniwa unakosea maana hata mungu alisema tuishi nao kwa akili...sasa kama ulishindwa kuishi nao kwa akili then hilo ni kosa lako!!!Sijaomba mzigo kanitamkia yeye mkuu .sema hawa viumbe wamelaaniwa