no one like you
Member
- Aug 27, 2014
- 43
- 11
UKWEL HALISI WA MAISHA YANGU
naitwa jey,nimezaliwa mwaka 1990,mkoani iringa,nina umri wa miaka 26,nimeishi kwa shida sana katika maisha yangu yote kwan nilizaliwa peke angu ila usiku nilikua na rafiki mtoto wa kike ambae hakuonekana mchana ila usiku tuu,alikua akinishtua sana hasa wakati akija kunitembelea kimazingara,alikua ni dada mzuri sura kama maraika,alikua akinambia mambo mengi sana hasa kwanin anapenda kushinda na mimi,alichonambia ni kwamba ananipenda sana na anapenda tuishi wote,wapendwa kiukweli siyo kazi rahisi kumkimbia jini akikupenda,kwa umri wa kitoto tulicheza michezo ya kitoto,hali hii ilimsumbua mama kwan alisikia kila siku usiku nacheza na mtoto asiyeonekana,ukubwani ndo kasheshe ilipoanza,yule dada alikua mzuri sana na alikua mzuri maradufu kila siku,jina lake aliitwa najiri,siku zote najiri alinitembelea na kunichukua kuelekea baharini kucheza na kunirudisha asubuh,ilikuwa ni jumapili najiri alinichukua tena kufika kule kwa siku zote kwa mbali kukaonekana kukiwa na uzuri wa ajab,itaende
naitwa jey,nimezaliwa mwaka 1990,mkoani iringa,nina umri wa miaka 26,nimeishi kwa shida sana katika maisha yangu yote kwan nilizaliwa peke angu ila usiku nilikua na rafiki mtoto wa kike ambae hakuonekana mchana ila usiku tuu,alikua akinishtua sana hasa wakati akija kunitembelea kimazingara,alikua ni dada mzuri sura kama maraika,alikua akinambia mambo mengi sana hasa kwanin anapenda kushinda na mimi,alichonambia ni kwamba ananipenda sana na anapenda tuishi wote,wapendwa kiukweli siyo kazi rahisi kumkimbia jini akikupenda,kwa umri wa kitoto tulicheza michezo ya kitoto,hali hii ilimsumbua mama kwan alisikia kila siku usiku nacheza na mtoto asiyeonekana,ukubwani ndo kasheshe ilipoanza,yule dada alikua mzuri sana na alikua mzuri maradufu kila siku,jina lake aliitwa najiri,siku zote najiri alinitembelea na kunichukua kuelekea baharini kucheza na kunirudisha asubuh,ilikuwa ni jumapili najiri alinichukua tena kufika kule kwa siku zote kwa mbali kukaonekana kukiwa na uzuri wa ajab,itaende