Nimefika salama Arusha

Princess21

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2015
Posts
272
Reaction score
266
Uwiii baridi kaliiii jamani, atakae kuna kunitoa ajiandae tu na Amarula, shishaaa kidogo nivute uwiii nipate joto. Ila asie na usafiri anisamehe asintafute maana sitaki kutembea kwa miguu
 
Uwiii baridi kaliiii jamani, atakae kuna kunitoa ajiandae tu na Amarula, shishaaa kidogo nivute uwiii nipate joto. Ila asie na usafiri anisamehe asintafute maana sitaki kutembea kwa miguu
Alafu ukishapewa hivyo vyote kinachofuatia nn?
 
Uwiii baridi kaliiii jamani, atakae kuna kunitoa ajiandae tu na Amarula, shishaaa kidogo nivute uwiii nipate joto. Ila asie na usafiri anisamehe asintafute maana sitaki kutembea kwa miguu
Nitakupigia baada ya nusu saa hivi.

Worry not, mtoto mzuri.

Watoto wazuri kama wewe hamtakiwi upata tabu kabisa, hasa kwenye mji wenye baridi kama huu mnatakiwa mpewe kajoto jotp fulani hivi ameizing.....
 
Hatari sana enzi zetu utamu kupata ilikuwa ngumu sana , this time round ......
 
Uwiii baridi kaliiii jamani, atakae kuna kunitoa ajiandae tu na Amarula, shishaaa kidogo nivute uwiii nipate joto. Ila asie na usafiri anisamehe asintafute maana sitaki kutembea kwa miguu
Uko maeneo gani::::
 
Halafu watu wakija PM unalalamika eti we siyo malaya kiivyo.

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…