Nimefanya maamuzi magumu naomba msaada hapa

Nimefanya maamuzi magumu naomba msaada hapa

Tengeneza banda hata la mabati yaliyotumika pembeni hadi juu, tofali za kuchoma, au zile zisizo za kuchoma kutemea na sehemu ulipo.
 
Nipo kwa nyumba ya kupanga nimeagiza mbuzi wa kufuga, hapo napoishi kuna jamaa naona anafungia mbuzi kamba wanajilea tu, sina kwa kuwalaza usiku ila mchana haina shida.

Nawaza nikiwaleta nitawalaza wapi, naomba ushauri.
Unakaa wapi
 
Nipo kwa nyumba ya kupanga nimeagiza mbuzi wa kufuga, hapo napoishi kuna jamaa naona anafungia mbuzi kamba wanajilea tu, sina kwa kuwalaza usiku ila mchana haina shida.

Nawaza nikiwaleta nitawalaza wapi, naomba ushauri.
utalala nao chumbani mwako
Umenunua gari na hauna leseni ya udereva?Chukua ushauri wa mamamwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom