kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,993
Nipo kwa nyumba ya kupanga nimeagiza mbuzi wa kufuga, hapo napoishi kuna jamaa naona anafungia mbuzi kamba wanajilea tu, sina kwa kuwalaza usiku ila mchana haina shida.
Nawaza nikiwaleta nitawalaza wapi, naomba ushauri.
Nawaza nikiwaleta nitawalaza wapi, naomba ushauri.