Mwakalifti, chepuka tu bwana. Kwani ni nini? Ila jiandae kwa matokeo siku ukibambwa.
aisee wewe ni Patrick? maana mkeo analia kwa unavyomfanyia unamjali sana mchepuko na huku home watoto wako wamefukuzwa shule hawana ada wakati baba yao anamakampuni na pia ni wajiriwa na una mshahara mzuri sana, hebu toka huko makonde rudi kwako kawe kama ni wewe.
Mchepuko umeiteka akili kazi kwamba simpendi tena Mke wangu.
Kwa kweli najaribu kuirudisha akili yangu mahala pake lakini kunakuwa Kama kuna nguvu isiyo ya kawaida ikinishikilia. Naombeni msaada wenu
Unamaanisha Komogo nae kakimbia familia?
hii JF ingekua inacharge per posts, wagonjwa kama nyinyi mngespend pesa zenu kununua dawa na sio kupoteza muda humu
anyway, asipochafuka hawezi kujifunza
aisee kumbe unamfahamu mwambie arudi kwenye familia yake, kale kadada kanampotezea muda tuu, mke wake anamlilia mume wake na inatia huruma sana kwa jamaa kama yule then watoto wake wafukuzwe ada, baba yao anapita njiani anaenda ford la kisasa ni aibu bwana
haya bana umesomeka
mapenz mmeyageuza SIMU unaweza ukasave namba nying nying
nadhani mmeelewana
NiPM namba ya mkeo nimshauri cha kufanya
yaani natamani niungane na wanawake wenzangu yaani mke wako na mke wa P then tuwapate kona kali tuwadunde vibaya sana, yaani ukilazwa hospitalini hapo ndiyo umekaa kidogo itakuwa miezi sita
njoo kwa braza y
Ukifikia over 40 michepuko ndio lugha yenyewe