TUPAC WA MWAKALELI
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 354
- 109
ubhapiniege kukajha mkuu
unahitaji maombi ya nguvu. n mtanfulize Mungu kwny maisha yako yote.hiyo sio hali ya kawaida
jaribu ku.spnd tym na mke wako na punguza mawasiliano na huyo MCHEPUKO. bdksh kila kitu kwny maisha yk n mshirikishe mkeo kwny maisha yako zaid i mean as ongeza UPENDO
Msaada gani sasa unahitaji?ngoja nawe utmbewe mkeo ndo akili itarudi....
Kumbe shida yako ni moyo kupoa?Sioni hasara wala uchungu, naushangaa mtoto, imekuwaje umepoa ghafla namna hii?
Mchepuko umeiteka akili kazi kwamba simpendi tena Mke wangu.
Kwa kweli najaribu kuirudisha akili yangu mahala pake lakini kunakuwa Kama kuna nguvu isiyo ya kawaida ikinishikilia. Naombeni msaada wenu
Mchepuko umeiteka akili kazi kwamba simpendi tena Mke wangu.
Kwa kweli najaribu kuirudisha akili yangu mahala pake lakini kunakuwa Kama kuna nguvu isiyo ya kawaida ikinishikilia. Naombeni msaada wenu
Najaribu nashindwa akili yangu yote iko kwa mchepuko. Niliamua kubadili namba ya simu na kukata mawasiliano nae, nikajikuta nimeenda kwake, nikamkosa na nikaacha namba yangu mpya ya simu. Yangu jana nimepokea mshahara, nikajikuta nimemtumia wote kwa m pesa
mchepuko umeiteka akili kazi kwamba simpendi tena mke wangu.
Kwa kweli najaribu kuirudisha akili yangu mahala pake lakini kunakuwa kama kuna nguvu isiyo ya kawaida ikinishikilia. Naombeni msaada wenu
ubhapiniege kukajha mkuu
angubhapon'ia nkamu
duh!!!!!!