Nimechoka kuwa mpweke

Nimechoka kuwa mpweke

Thesnooperman

Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
57
Reaction score
6
Mimi ni kijana wa kiume umri wangu miaka 24, nipo Dar es salaam. Natafuta msichana yeyote mzuri mwenye umri kati ya 18~24 kwa ajili ya mahusiano baadae ndoa.

Mwenye kuhitaji ani pm tupange yetu

Karibu sana
 
Miaka 24 TU ushachoshwa na upweke ndg yng!! Wenzio tuna ad 30's but tuko normal tu bila mademu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom