Pelham 1
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 548
- 100
Wapendwa nahisi kilichobaki nikuiigiza movie za mapenzi nakucheza pati ya kuumizwa maana kila mdada ninaempenda ama kutokea kumpenda kwa dhati ni lazima aniumize, sasa nimekuwa rejendali wa kuumizwa acha ajabu sikomi,
Nilitokea kumpenda binti mmoja wa kiarusha nakumuelelezea mipango yangu na nia ya dhati kwake ikiwa kumfanya mke wangu, nikajitoa kwake na nakumfanyia kila niwezalo kama mwanamke anaependwa kufanyiwa, tulikubaliana kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa lakushangaza nae aliniita nyumbani kwao nakunibwaga eti kwamba hana future namimi niachane nae.
Hivi navyowambia ninastress kibao kila nachoshika hakishikiki zaidi kushinda ndani nimetulizana, yeye ananenepa nakujiachia zake mimi naumia na mawazo juu yake nikujiuliza kwanini ameniacha kwenye hali ngumu kiasi hiki bila huruma.
Naitaji ukaribu wenu nami na wazo yenu maana sijielewi elewi kabisa. Pia najiuliza hii hali itaisha lini ya kuumizwa mimi tu mbona mimi nidecent kwao siwaumiziiii...
Nilitokea kumpenda binti mmoja wa kiarusha nakumuelelezea mipango yangu na nia ya dhati kwake ikiwa kumfanya mke wangu, nikajitoa kwake na nakumfanyia kila niwezalo kama mwanamke anaependwa kufanyiwa, tulikubaliana kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa lakushangaza nae aliniita nyumbani kwao nakunibwaga eti kwamba hana future namimi niachane nae.
Hivi navyowambia ninastress kibao kila nachoshika hakishikiki zaidi kushinda ndani nimetulizana, yeye ananenepa nakujiachia zake mimi naumia na mawazo juu yake nikujiuliza kwanini ameniacha kwenye hali ngumu kiasi hiki bila huruma.
Naitaji ukaribu wenu nami na wazo yenu maana sijielewi elewi kabisa. Pia najiuliza hii hali itaisha lini ya kuumizwa mimi tu mbona mimi nidecent kwao siwaumiziiii...