Pole mkaka! c kwako tu bali kwa watu wengi ndo hayo hayo, hata hao wanaokushauri tayari kishawakuta usione wanachekacheka hapo.Eeh bwana tafuta pesa utapata mdada tu wa kukubali ulivyo,ila kuonja japo kdg lazima ingawa ktk maandiko wanakataza.Ila mbona mengi yanakatazwa na 2nayafanya sembuse hili.............Usisahau CONDOM!