Nimechoka kutembea nahitaji gari isizidi ml 4.5

Nimechoka kutembea nahitaji gari isizidi ml 4.5

mdalla 1

Senior Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
120
Reaction score
20
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, wakuu nahitaji gari gharama yake isizidi milioni 4.5, iwe katika hali nzuri.

Mawasiliano: 0788099470
 
Usihofu mkuu,
Utapata.

Ila KUNA mpiga debe MMOJA anaitwa Munawar asivyokuwa Na AIBU atakuja kukutangazia PASSO kwa million 23 SASA HIVI,
Wakati BAJETI YAKO keshaiona.
 
Last edited by a moderator:
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, wakuu nahitaji gari gharama yake isizidi milioni 4.5, iwe katika hali nzuri.

Mawasiliano: 0788099470

Kaka nenda pale lumumva magari ya kila aina yameegeshwa wewe ni kuchagua tu
 
mmmh! nakuonea huruma na hivi huna uzoefu wa wapi kuna mafundi wazuri na bei za spea! utaumia, ongezea ongezea upate gari imara.
 
Dahh mwana umeikosa calat safi sana imepingwa 4.4 madalali wamekula laki 2
 
Kimoja kikubwa ujasema asee kwamba si ya uwizi hama ya magumashi mjini hapa tunapajua sisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom