Nimechezea za mbavu leo

Hivi tufungue shule za kutongoza au?
Unamtongozaje mwanamke dry kiasi kile?
Njooni tuwafunze nyie wavulana fambaf zennyu
 
Vitoto vya siku hizi yaani kinamtongoza mtu kwa maneno ukute hata mia hakijawi kumpa .

Yaani purukushani kengine kamenaswa bafuni kanapiga punyeto .

Kengine eti kanauliza google ni vipi kampende mwanamke .

Yaani ni vichekesho sana nilianza haya mambo na miaka kumi ila sikuwa mburula kama vitoto vya leo
 
Hawezi kukubaliwa na siku akipewa ajue kaonewa huruma sio kwamba dada anamtaka
Mwambie ukweli alipokesea bhana😂😂😂
Utatongozaje dry kiasi kile?

Unaonaje angemwalika dina na akampeleka sehemu tulivu.
Mtoto ale vitu vitamu.
Anywe atakacho akichangamka moyo naye aanze kuchombeza...unafikiri angejibiwa dry kiasi kile?

Mzigua90 hebu sema😁😁
 
Mimi huwa naamini kutongoza mtoto wa kike hutakiwi kutumia nguvu kubwa.
Hasa katika zama hizi.
 
Majibu kapewa ya kikatili sana angefanya hayo ya chini angekataliwa kweli ila sio kwa tone hiyo

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…