Nimechezea za mbavu leo

Kama mtu mmoja alietangulia kukuuliza na mimi narudia, hivi wewe una umri gani? Unamtaka demu awe girlfriend na unamuita mama angu? are you serious? Kwa majina yote unamuita mama angu! Pole bro!
 
Kama mtu mmoja alietangulia kukuuliza na mimi narudia, hivi wewe una umri gani? Unamtaka demu awe girlfriend na unamuita mama angu? are you serious? Kwa majina yote unamuita mama angu! Pole bro!
Kwamba Ni ajabu Sana..acha ushamba bro!
 
Dah[emoji3][emoji3][emoji3]sa mbona kaelekea kibra,huyo analika sema wewe unapanick sana we tulia tuu vunga kama wiko hv piga kimya,acha shobo kumtxt txt kila saa ni dalili ya uoga
Demu anataka kabisa Basi tu nltumia ubabe kumuapproach...Ila body language ake Ni green right!
 
Be a gent,, huo ni udhaifu umeuonyesha,, then approach nzuri ni ile ya kumake appointment, kutana nae mazingira tulivu then funguka kama mwanaume otherwise huna confindence ndo utaendelea kulia lia kwenye simu hivyo.
Ushauri mzuri shida manzi anachungwa flani hivi hayupo huru,nafkr kwao wanamfatlia nyendo zake kwa Siri hivyo Hana Uhuru kihisia
 
Lete PDF mkuu😃
 
Boresha mbinu dem simple uyo anakukataa ivo na usiku mwema anakutakia, bado wako uyo
 
mteme tu hana kipya hiyo, tafuta rafiki yake uishi hapo


Alafu lete mrejesho
 
Boresha mbinu dem simple uyo anakukataa ivo na usiku mwema anakutakia, bado wako uyo

Amini ukimpanga vizuri hashindwi kuchomoka j/mos au pili ya weekend yoyote.
Hapo ndo nachekecha akili inafika mwisho...datz y nlimuliza kuwa ananihtaj au la lengo langu angekubali ingekuwa rahisa kumshawishi atoke apo kwao kuja gheto..nipee plan mkuu nrudi kwakeee
 
Huyo anatongoza demu kiume, wanawake wanataka attention. Alipaswa kumchezea mind games
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…