Nimecheka sana leo

maforce

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2017
Posts
669
Reaction score
641
*TIARAEI:* Askofu Kakobe tunataka kujua utajiri wako uliupataje.

*Kakobe:* Kwa Yesu.

*TIARAEI:* Umesema una hela nyingi sana.

*Kakobe:* Ndiyo

*TIARAEI:* Umezihifadhi benki gani?

*Kakobe:* Kwa Baba Mbinguni.

*TIARAEI:* Kwanini uzihifadhi huko?

*Kakobe:* Ni kwa sababu maandiko yanasema _*"Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu haviwezi kuharibu"*_ (Mathayo 6:20)

*TIARAEI:* Ukisema nondo au kutu unamaanisha ni sisi?

*Kakobe:* Wewe wasema. Najiepusha na Mafarisayo na masadukayo.

*TIARAEI:* Ushuru wetu.

*Kakobe:* Tubuni halafu nendeni kwa baba mbinguni
 
*TIARAEI:* Askofu Kakobe tunataka kujua utajiri wako uliupataje.<br /><br />*Kakobe:* Kwa Yesu.<br /><br />*TIARAEI:* Umesema una hela nyingi sana.<br /><br />*Kakobe:* Ndiyo<br /><br />*TIARAEI:* Umezihifadhi benki gani?<br /><br />*Kakobe:* Kwa Baba Mbinguni. <br /><br />*TIARAEI:* Kwanini uzihifadhi huko?<br /><br />*Kakobe:* Ni kwa sababu maandiko yanasema _*"Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu haviwezi kuharibu"*_ (Mathayo 6:20)<br /><br />*TIARAEI:* Ukisema nondo au kutu unamaanisha ni sisi?<br /><br />*Kakobe:* Wewe wasema. Najiepusha na Mafarisayo na masadukayo.<br /><br />*TIARAEI:* Ushuru wetu.<br /><br />*Kakobe:* Tubuni halafu nendeni kwa baba mbinguni

Kwa hiyo TRA wataenda mbinguni kuchunguza utajiri wa KAKOBE amepataje na kodi analipaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…