Nimechanganyikiwa msaada wa haraka


Chukua bapa narusha muamala. Ila iwe bapa kubwa.
 
Wewe muoe tu huyo single maza, ukishapigwa tukio ndo utajua kumbe ulimpenda sana baby mama wako ila ukatanguliza tamaa mbele.
Hawajui watoto hawa,huyo usiyekuwa na hisia nae unasema hana tatizo lolote.
Sasa unaenda wapi?
Huyo ndo mwenzio huyo mzoee tu,
Bibi na babu zetu walivumiliana wakaishi vizuri tu.
Unakaa nae huyohuyo badae mnazoeana life linakua mchekea tu.
Huyo singo maza ni anatafuta hifadhi tu.
Atadunguliwa tena ukiwae humohumo nani uanza kutafuta mkaa.
Shauri yako.
Hakuna ushauri hapa.
 
Asipochuku huu ushauri basi tena
 
Mimi kama daktari mwenye uzoefu na experience ya kutosha kuhusu matatizo ya afya ya akili. Nadiriki kusema una tatizo kitalaamu linaitwa SMOD au kwa kirefu Single Mother Obsession Disorder.

Acha upuuzi mkuu.
 
M
Mimi ni mwanamke,ila nakupa ushauri wa Bure!

Ukitaka kuishi Kwa amani achana na huyo unaesema una hisia nae!
Utakuja kutulilia hapa!
Kwa Dunia ilivyo ss,acha kabisa,Baki na uliyezaa nae utakuja kutushukuru!
 
Unachanganyikiwa kisa wanawake ati umuoe yupi are you serious??
NDOA NI UTAPELI
NDOA NI ULAGHAI
subiri huyo single mama akunyooshe ulee mtoto wa mwenzio na mke wa mwenzio.
KATAA NDOA TUNZA FURAHA YAKO.
 
Usipende sana kufatisha moyo Mkuu moyo hua unadanganya sana tumia Zaid akili na sio moyo....kingine Muombe Mungu akusaidie ufanye maamuz sahihi...thamini cha kwako kwanza
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ