Usije jiroga ndugu kusoma bls narudia don't attemptAchana na bls ndugu soma hiyo hiyoo bls haina wizara ,labda soma BVM ,you will thank me later .
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Thanks for the adviceAchana na bls ndugu soma hiyo hiyoo bls haina wizara, labda soma BVM ,you will thank me later.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Thanks for complementUsije jiroga ndugu kusoma bls narudia don't attempt
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Yaan Dogo mpaka sasa hujui nn malengo yako ktk Elimu dahNdugu wanajamii forum naomba msaada kipi ni kozi marketable kati ya environmental science vs biotechnology and laboratory science , Niko dilema nisaidieni idea
Naskia iko tight kiasi ,ila ni bonge la koziHiyo Environmental Science hapo SUA imeshakula vichwa vya Watu wawili ninaowafahamu na wako smart kichwani sijui shida nini.
Ukiamua Kusoma hiyo usifanye mchezo soma haswa
Ya ardhi ni engineering na engineering lazima isomwr miaka minne.Samahani wakuu Kozi ya environmental science SUA na UDOM wanatoa miaka Mitatu halfu ardhi miaka 4 inakuaje
Zote kozi za kawaida pale sua ila nenda kasome BLS itakupa hata channel hasa kwenye mashirika ya nje. Kila la kheri wasalimiewakina Prof. Misinzo et al..
Biotechnology ni nzuri kwa nchi za wenzetu kwenye Field za medical unaingia sana.Ndugu wana JamiiForums naomba msaada kipi ni kozi marketable kati ya Environmental Science vs Biotechnology and Laboratory Science. Niko dilema nisaidieni idea.