Simu yangu imeblock kwasababu ya kuweka wrong pattern inaniambia nweke backup pin na mimi siijui. Nisaidieni nfanyaje?
Ulitakiwa kuchagua factory reset badala ya custom OS.Asante mwaya. Nmefanya hvo ikanpa warning ya custom os, nkacontinue option ya download custom os but ni zaid ya saa inadownload tu na no progress shown. Sasa cjui imestack au ndo inawork slowly?
Kitufe cha kati na volume down + power
Asante mwaya. Nmefanya hvo ikanpa warning ya custom os, nkacontinue option ya download custom os but ni zaid ya saa inadownload tu na no progress shown. Sasa cjui imestack au ndo inawork slowly?
Hyo option ya kuweka email na pasword ipo lakin nkiweka pasword hairespond kitu
Data was on,sasa ntaactivate vp internet wkt cm haifunguki?
hio ni clone sio originalnaombeni msaada simu yangu nili iformat sema saivi haiwaki kawaida haiandiki sumsung ina andika color my world naomba nisaidie irudi kama ya kawaida
hio ni clone sio original
mbona ni original njia gani unatumia kuangalia kama ni original