Chai ya moto ikiwa ya mooto..weka tone sita kwenye matundu ya pua
Pole sana tia ndimu kwenye chai inasaidia.Nisaidieni home made remedy ya mafua niko taabani!!!!!
Aisee asanteni mimetumia Jana chai ya ndimu, mvuke wa viksi na hiyo swaumu Leo niko mzima asanteni sana.