Monda kubwa
Senior Member
- Jun 20, 2019
- 121
- 157
Usiku wa leo ni mrefu sana. Kuna dada mmoja nilianza kumfukuzia tukazoeana ila sijamgegeda kwa sababu naona kama haeleweki.
Sasa yeye ana rafiki yake wa karibu sana. Huyo rafiki yake ana mtu wake ambaye ni mume wa mtu na namfahamu. Huyo rafiki yake alipata shida kidogo maana Alifikia kwa ndugu lakini wakawa wamepishana kidogo akawakimbia ndugu.
Sasa huyo ninayemfukuzia akaniandikia message usiku wa leo kuwa wana shida mwenzake hana sehemu ya kulala niwasaidie.
Nina hela ila sikutaka kuwapa. Nikamwambia njooni mlale kitandani mimi nitalala kwenye sofa maana nakaa mwenyewe. Akaniambia rafiki yake atatangulia halafu yeye atafata baadae. Nikamwambia poa.
Rafiki yake akaja nikamkaribisha tukawa tunacheki movie tu. Nikamuuliza mbona mwenzako haji? Akaniambia simu yake imezima kwa hio atalala kule kwa baba yake mdogo.
Daaah, nimebaki na maswali tu kichwani. Mpango wao ni nini? Wanawaza nini?
Nimelala hapa lakini nawaza sana.
Sasa yeye ana rafiki yake wa karibu sana. Huyo rafiki yake ana mtu wake ambaye ni mume wa mtu na namfahamu. Huyo rafiki yake alipata shida kidogo maana Alifikia kwa ndugu lakini wakawa wamepishana kidogo akawakimbia ndugu.
Sasa huyo ninayemfukuzia akaniandikia message usiku wa leo kuwa wana shida mwenzake hana sehemu ya kulala niwasaidie.
Nina hela ila sikutaka kuwapa. Nikamwambia njooni mlale kitandani mimi nitalala kwenye sofa maana nakaa mwenyewe. Akaniambia rafiki yake atatangulia halafu yeye atafata baadae. Nikamwambia poa.
Rafiki yake akaja nikamkaribisha tukawa tunacheki movie tu. Nikamuuliza mbona mwenzako haji? Akaniambia simu yake imezima kwa hio atalala kule kwa baba yake mdogo.
Daaah, nimebaki na maswali tu kichwani. Mpango wao ni nini? Wanawaza nini?
Nimelala hapa lakini nawaza sana.