Nimebaini sababu zilizowafanya Yanga waruhusu watu kuingia bure mzunguko vs Mamelodi Sundowns

Simba ilikuwa na sold out siku 3 kabla ya mechi ya ufunguzi ya AFL.

Benjamin Mkapa Stadium ina capacity ya watu 60K.

Simba ilijaza watu hao na kiingilio cha chini kilikuwa ni 7,000.

Wydad kuoitia Mohamed V ya kule Morroco huwa anajaza full house uwanja wenye capacity ya 67,000.

Mamelody naye huwa anajaza mashabiki zaidi ya 50,000 full house kwenye mechi zake.

Pamoja na hayo yote ufunguzi ukifanyika Tanzania.

Lakini pamoja na hayo yote tuzo ya mashabiki bora ilienda kwa Simba.

Unajua kwanini?

Kwasababu hao wote wanajaza full house kwakua mechi wanaweka bure.

Mechi ikiwa bure unapoteza tafsiri halisi ya kwamba mpira ni hisia.

Kwenye mpira zipo dhana zinazotumika kupima mapenzi halisi ya shabiki wa mpira.

Na moja ni pamoja na shabiki huyo kuisapoti timu yake kupitia gate collection.

Sasa inapotokea mechi kubwa halafu ukaifanya bure maana yake unajenga picha kuwa timu yako haina mashabiki wenye mapenzi ya kweli kuweza kuisapoti timu yao

Au ni mashabiki ambao hawana uwezo wa ku attend hiyo mechi kwa wingi kutosheleza kujaza uwanja pasipo kuifanya bure.

Au kwa maneno mengine ni kwamba idara ya habari haina convincing power ya kuhamasisha mashabiki wawe na muamko wa kuona wajibu wao kwenye kuisapoti timu.
Mamelod kajaza uwanja lini kwa kiingilio?

We jamaa ni muongo duh!!!
 
Basi kumbe fan base sio kigezo mojawapo cha kushiriki mashindano ya African football league. Mleta uzi basi kachemka Yanga hana sababu ya kumshawishi raisi wa CAF aone washabiki ni wengi ili ipate nafasi ya African football league.
Ndio maana nimemuambia kuwa kujaza uwanja kwa free entrance sio factor ya kufanya uwe host.
 
Yanga wameamua mashabiki waingie bure kule mzunguko ili uwanja ujae na kwa vile Rais wa CAF ni Rais wa Mamelod wakiwa na mkakati mkubwa kuwa ionekane kuwa wao wana mashabiki wengi kuliko Simba hivyo wawe wanapatiwa nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali ya CAF ikiwemo super league.

Wengi mnaweza msijue lakini ukweli ni kuwa wameona wakiweka viingilio kule mzunguko kutakuwa na mashimo mengi na kwa vile wanajitafuta ili kuipiku Simba kimataifa kwa kuonekana wao wana mashabiki wengi basi mzunguko watu waingie bure, hapo watakuwa wamewawini Simba.

Yaaani wao lengo Lao ni kuhakikisha Africa inatambua kuwa hapa Tanzania wao ndio wana mashabiki wengi kuliko Simba na mfano watatolea mechi na Mamelodi.

Niwaombe viongozi wa Simba wasikubali brand yao ishushwe na ujinga wa uongozi wa yanga, wawaeleze viongozi wa CAF kuwa umati huo wa mtume Muhammad S.A.W kwenye game ya Mamelodi ni mambo ya demo hayo wakati sisi mashabiki wamelipia viingilio.

Mkakati wenu nimeushtukia vilaza wakubwa nyie wa Jangwani.
Ona huyu nae.
 
Sema wanasimba wenzangu tupunguze chuki kwa Yanga, sasa wao kuweka kiingilio bure mzunguko inatukera nini
 
Simba ilikuwa na sold out siku 3 kabla ya mechi ya ufunguzi ya AFL.

Benjamin Mkapa Stadium ina capacity ya watu 60K.

Simba ilijaza watu hao na kiingilio cha chini kilikuwa ni 7,000.

Wydad kupitia Mohamed V ya kule Morroco huwa anajaza full house uwanja wenye capacity ya 67,000.

Mamelody naye huwa anajaza mashabiki zaidi ya 50,000 full house kwenye mechi zake.

Pamoja na hayo yote ufunguzi ulifanyika Tanzania.

Lakini pamoja na hayo yote tuzo ya mashabiki bora ilienda kwa Simba.

Unajua kwanini?

Kwasababu hao wote wanajaza full house kwenye mechi ambazo kiingilio ni bure.

Mechi ikiwa bure unapoteza tafsiri halisi ya kwamba mpira ni hisia.

Kwenye mpira zipo dhana zinazotumika kupima mapenzi halisi ya shabiki wa mpira.

Na moja ni pamoja na shabiki huyo kuisapoti timu yake kupitia gate collection.

Sasa inapotokea mechi kubwa halafu ukaifanya bure maana yake unajenga picha kuwa timu yako haina mashabiki wenye mapenzi ya kweli kuweza kuisapoti timu yao

Au ni mashabiki ambao hawana uwezo wa ku attend hiyo mechi kwa wingi kutosheleza kujaza uwanja pasipo kuifanya bure.

Au kwa maneno mengine ni kwamba idara ya habari haina convincing power ya kuhamasisha mashabiki wawe na muamko wa kuona wajibu wao kwenye kuisapoti timu.
Yanga Day ilikuwa bure?
 
Sema wanasimba wenzangu tupunguze chuki kwa Yanga, sasa wao kuweka kiingilio bure mzunguko inatukera nini
Hiyo fujo yake utakuja kusema humu.
Kama ulienda uwa uwanjani siku alipo walipia Manji usinge furahia kuingia Dezo dezo.
Che Che Che, mnapenda vitu vya Che. Ooh mama wee, yatawashinda.
 
Yanga kusema wanaingiza mashabiki wengi ni kwakuwa.

Mechi za Yanga Simba wanaingia kwa wingi.

Mechi za Simba Yanga wanaingia wachache sana.
 
Yanga wameamua mashabiki waingie bure kule mzunguko ili uwanja ujae na kwa vile Rais wa CAF ni Rais wa Mamelod wakiwa na mkakati mkubwa kuwa ionekane kuwa wao wana mashabiki wengi kuliko Simba hivyo wawe wanapatiwa nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali ya CAF ikiwemo super league.

Wengi mnaweza msijue lakini ukweli ni kuwa wameona wakiweka viingilio kule mzunguko kutakuwa na mashimo mengi na kwa vile wanajitafuta ili kuipiku Simba kimataifa kwa kuonekana wao wana mashabiki wengi basi mzunguko watu waingie bure, hapo watakuwa wamewawini Simba.

Yaaani wao lengo Lao ni kuhakikisha Africa inatambua kuwa hapa Tanzania wao ndio wana mashabiki wengi kuliko Simba na mfano watatolea mechi na Mamelodi.

Niwaombe viongozi wa Simba wasikubali brand yao ishushwe na ujinga wa uongozi wa yanga, wawaeleze viongozi wa CAF kuwa umati huo wa mtume Muhammad S.A.W kwenye game ya Mamelodi ni mambo ya demo hayo wakati sisi mashabiki wamelipia viingilio.

Mkakati wenu nimeushtukia vilaza wakubwa nyie wa Jangwani.
Punguza wivu we kolo
 
Simba ilikuwa na sold out siku 3 kabla ya mechi ya ufunguzi ya AFL.

Benjamin Mkapa Stadium ina capacity ya watu 60K.

Simba ilijaza watu hao na kiingilio cha chini kilikuwa ni 7,000.

Wydad kupitia Mohamed V ya kule Morroco huwa anajaza full house uwanja wenye capacity ya 67,000.

Mamelody naye huwa anajaza mashabiki zaidi ya 50,000 full house kwenye mechi zake.

Pamoja na hayo yote ufunguzi ulifanyika Tanzania.

Lakini pamoja na hayo yote tuzo ya mashabiki bora ilienda kwa Simba.

Unajua kwanini?

Kwasababu hao wote wanajaza full house kwenye mechi ambazo kiingilio ni bure.

Mechi ikiwa bure unapoteza tafsiri halisi ya kwamba mpira ni hisia.

Kwenye mpira zipo dhana zinazotumika kupima mapenzi halisi ya shabiki wa mpira.

Na moja ni pamoja na shabiki huyo kuisapoti timu yake kupitia gate collection.

Sasa inapotokea mechi kubwa halafu ukaifanya bure maana yake unajenga picha kuwa timu yako haina mashabiki wenye mapenzi ya kweli kuweza kuisapoti timu yao

Au ni mashabiki ambao hawana uwezo wa ku attend hiyo mechi kwa wingi kutosheleza kujaza uwanja pasipo kuifanya bure.

Au kwa maneno mengine ni kwamba idara ya habari haina convincing power ya kuhamasisha mashabiki wawe na muamko wa kuona wajibu wao kwenye kuisapoti timu.
Hizi timu za kariakoo zimewafanya mmekuwa kama mataahira ...hebu ona watu wazima mnabishana kwa vitu vya kitoto kabisa.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom