imbegete
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,299
- 989
Hii ni chai ya majani ya mpera kwa ajiri ya kutibu tumbo la kuhara
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa na true love kabisa kwangu. Tofauti na hawa ninaokutana nao sasa.Ilinibidi niulizie hata kwa washkaji.jamaa mmoja akasema wapo wa hivyo.sikumwamini kabisa.lakini baada ya kusoma hii text yako sasa naanza elewa.why unasema huyo ungetamani kumwoa?
Alikuwa na true love kabisa kwangu. Tofauti na hawa ninaokutana nao sasa.
Ila kwa wakati ule niliogopa sana.
Maana kuna wakati alikuwa anazimia mapema hasa nikimfanyia maandalizi ya ukweli(heavily ).
Nilikuwa nikiona amezima kwenye maandalizi tu, basi namuacha kwanza hadi awe fresh ndipo nampiga mshedede.
Na kuna wakati alizima tukiwa kwenye sex yenyewe! Nikiona hivyo nilikuwa napunguza kila kitu ili arudi kwenye form yake ya kawaida.
Ilifikia hatua nikamzoea ila moyo wangu haukuridhia kuendelea maishani na hiyo hali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha zinaa wewe...!Huyu demu mwaka jana kanisumbua kinoma. Mwaka jana nimemtoa Krismas, nikamtoa Boxing Day, nimekuja mtoa out Mwaka Mpya.
Kanikubalia tukakeshe wote, tumeenda vizuri kanywa mipombe yake kama sumu, mikali sana. Dada anakunywa Yohana Mtembezi (Johnny Walker) anamaliza mweyewe halafu anakunywa Heineken kama 20 hivi, nilichoka mwenyewe.
Tumeenda Lodge nataka niingize Mwaka Mpya. Tumeenda ameoga nikaoga tumerudi kitandani nimemuandaa kawa tayari nianze kumgegeda, akafurahi sana kalegea maana alikuwa hoi. Mara akanikamata kwa nguvu then nimeingia tu daaah, akakata network!
Akawa anatumbua tu mimacho kama chura. Kila nikijaribu kugonga angle tofauti tofauti namwona amekodoa tu mimacho nikahisi pengine amekufa maana nimejitahidi kinyama aaah wapi, demu ametumbua tu mijicho.
Nikashuka kitandani nikaanza kuvaa haraka haraka niondoke mdogomdogo maana nikawaza hapa ndo kuandikwa magazetini nimeua. Ile nataka kutoka ndiyo ananambia: "xxx wapi tena usiku huu unataka niacha?"
Nikaropoka, "Kumbe hujafa" akashtuka, "xxx mbona sikuelewi?" Ndiyo nikamsimulia akasema ndivyo alivyo. Huwa anapoteza fahamu sometimes utamu ukimzidia.
Nikashangaa sana, demu anatumbua mijicho kama kafa eti yeye ndiyo anakuwa ame-enjoy mpaka basi.
Hii kitu ndiyo nmekutana nayo mwaka huu. Nimemsimulia jamaa yangu anasema wapo wanawake wa hivyo.
Ni kama mtu unatembea na madawa ya kulevya aiseee. Sitaki tena hilo jambo!
Wewe tangu lini umeacha?
Wapi uliniona nazini?Wewe tangu lini umeacha?
Naona unawahimiza wenzio tu waache!! Anza wewe. Okoka na kuachana na hiyo dhambi ya uzinzi. Onesha mfano. Roho Mtakatifu akuwezeshe. Amen.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sioni kama ni fair kumchanganya mzazi katika ushauri wake kwako. Inamhusu nini mzazi. Sioni ubaya kwa alivyokushauri. Fanyia kazi ushauri au potezea na endelea kuzini. Wewe ungethubutu kumwambia mzazi wako?Ungeanza na kumwambia mzazi wako kwanza.
Huyu demu mwaka jana kanisumbua kinoma. Mwaka jana nimemtoa Krismas, nikamtoa Boxing Day, nimekuja mtoa out Mwaka Mpya.
Kanikubalia tukakeshe wote, tumeenda vizuri kanywa mipombe yake kama sumu, mikali sana. Dada anakunywa Yohana Mtembezi (Johnny Walker) anamaliza mweyewe halafu anakunywa Heineken kama 20 hivi, nilichoka mwenyewe.
Tumeenda Lodge nataka niingize Mwaka Mpya. Tumeenda ameoga nikaoga tumerudi kitandani nimemuandaa kawa tayari nianze kumgegeda, akafurahi sana kalegea maana alikuwa hoi. Mara akanikamata kwa nguvu then nimeingia tu daaah, akakata network!
Akawa anatumbua tu mimacho kama chura. Kila nikijaribu kugonga angle tofauti tofauti namwona amekodoa tu mimacho nikahisi pengine amekufa maana nimejitahidi kinyama aaah wapi, demu ametumbua tu mijicho.
Nikashuka kitandani nikaanza kuvaa haraka haraka niondoke mdogomdogo maana nikawaza hapa ndo kuandikwa magazetini nimeua. Ile nataka kutoka ndiyo ananambia: "xxx wapi tena usiku huu unataka niacha?"
Nikaropoka, "Kumbe hujafa" akashtuka, "xxx mbona sikuelewi?" Ndiyo nikamsimulia akasema ndivyo alivyo. Huwa anapoteza fahamu sometimes utamu ukimzidia.
Nikashangaa sana, demu anatumbua mijicho kama kafa eti yeye ndiyo anakuwa ame-enjoy mpaka basi.
Hii kitu ndiyo nmekutana nayo mwaka huu. Nimemsimulia jamaa yangu anasema wapo wanawake wa hivyo.
Ni kama mtu unatembea na madawa ya kulevya aiseee. Sitaki tena hilo jambo!
Kweli wewe chizi, mzazi anaingiaje hapa sasa kama hujaridhika na ushauri si upotezee tu.Ungeanza na kumwambia mzazi wako kwanza.
Sioni kama ni fair kumchanganya mzazi katika ushauri wake kwako. Inamhusu nini mzazi. Sioni ubaya kwa alivyokushauri. Fanyia kazi ushauri au potezea na endelea kuzini. Wewe ungethubutu kumwambia mzazi wako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani alipoteza Fahamu ila alikua na ufahamu kua huyo xxx wake anavaa na kutaka kuondoka! Sasa alipotezaje hizo fahamu? Hii chai ni chungu,nadhani majani ya chai yamezidi na sukari imekua ndogo.Nikaropoka, "Kumbe hujafa" akashtuka, "xxx mbona sikuelewi?" Ndiyo nikamsimulia akasema ndivyo alivyo. Huwa anapoteza fahamu sometimes utamu ukimzidia.
Hapo umetupiga nyundooo eti ahaaa kumbe hujafa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani demu anakata Johnny walker peke yake halafu na Heineken 20 bado hujastuka tu kuwa una deal na gumegume