Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,754
Huyu demu mwaka jana kanisumbua kinoma. Mwaka jana nimemtoa Krismas, nikamtoa Boxing Day, nimekuja mtoa out Mwaka Mpya.
Kanikubalia tukakeshe wote, tumeenda vizuri kanywa mipombe yake kama sumu, mikali sana. Dada anakunywa Yohana Mtembezi (Johnny Walker) anamaliza mweyewe halafu anakunywa Heineken kama 20 hivi, nilichoka mwenyewe.
Tumeenda Lodge nataka niingize Mwaka Mpya. Tumeenda ameoga nikaoga tumerudi kitandani nimemuandaa kawa tayari nianze kumgegeda, akafurahi sana kalegea maana alikuwa hoi. Mara akanikamata kwa nguvu then nimeingia tu daaah, akakata network!
Akawa anatumbua tu mimacho kama chura. Kila nikijaribu kugonga angle tofauti tofauti namwona amekodoa tu mimacho nikahisi pengine amekufa maana nimejitahidi kinyama aaah wapi, demu ametumbua tu mijicho.
Nikashuka kitandani nikaanza kuvaa haraka haraka niondoke mdogomdogo maana nikawaza hapa ndo kuandikwa magazetini nimeua. Ile nataka kutoka ndiyo ananambia: "xxx wapi tena usiku huu unataka niacha?"
Nikaropoka, "Kumbe hujafa" akashtuka, "xxx mbona sikuelewi?" Ndiyo nikamsimulia akasema ndivyo alivyo. Huwa anapoteza fahamu sometimes utamu ukimzidia.
Nikashangaa sana, demu anatumbua mijicho kama kafa eti yeye ndiyo anakuwa ame-enjoy mpaka basi.
Hii kitu ndiyo nmekutana nayo mwaka huu. Nimemsimulia jamaa yangu anasema wapo wanawake wa hivyo.
Ni kama mtu unatembea na madawa ya kulevya aiseee. Sitaki tena hilo jambo!
Kanikubalia tukakeshe wote, tumeenda vizuri kanywa mipombe yake kama sumu, mikali sana. Dada anakunywa Yohana Mtembezi (Johnny Walker) anamaliza mweyewe halafu anakunywa Heineken kama 20 hivi, nilichoka mwenyewe.
Tumeenda Lodge nataka niingize Mwaka Mpya. Tumeenda ameoga nikaoga tumerudi kitandani nimemuandaa kawa tayari nianze kumgegeda, akafurahi sana kalegea maana alikuwa hoi. Mara akanikamata kwa nguvu then nimeingia tu daaah, akakata network!
Akawa anatumbua tu mimacho kama chura. Kila nikijaribu kugonga angle tofauti tofauti namwona amekodoa tu mimacho nikahisi pengine amekufa maana nimejitahidi kinyama aaah wapi, demu ametumbua tu mijicho.
Nikashuka kitandani nikaanza kuvaa haraka haraka niondoke mdogomdogo maana nikawaza hapa ndo kuandikwa magazetini nimeua. Ile nataka kutoka ndiyo ananambia: "xxx wapi tena usiku huu unataka niacha?"
Nikaropoka, "Kumbe hujafa" akashtuka, "xxx mbona sikuelewi?" Ndiyo nikamsimulia akasema ndivyo alivyo. Huwa anapoteza fahamu sometimes utamu ukimzidia.
Nikashangaa sana, demu anatumbua mijicho kama kafa eti yeye ndiyo anakuwa ame-enjoy mpaka basi.
Hii kitu ndiyo nmekutana nayo mwaka huu. Nimemsimulia jamaa yangu anasema wapo wanawake wa hivyo.
Ni kama mtu unatembea na madawa ya kulevya aiseee. Sitaki tena hilo jambo!