Umepewa uwzo ili uwasaidie nduguzo. Muombe Mungu akupe ufukara ili hao nduguzo wasikusumbue na kukupiga mizinga
Huu ni ujinga, kwanini wasitafute zao na wao?Umenena vyema Mkuu, rizki ya Mtu hupitia kwa mtu
ungejua unavyonisumbua na hayo mapicha picha mimi acha tuMkubwa imani
Uzi umenifikirisha. Unachukia ndugu zako wa kike au unachukia wanawake. Embu funguka nikutathimini!Uzi umefutwa
Huu ni ujinga, kwanini wasitafute zao na wao?
Mtu ameolewa, si amuombe mume wake? Hana ndugu kwao alikotoka?
Na kama hajaolewa si akaolewe ili wasumbuane na mume wake?
Hii tabia mimi pia inanikera sana kwa ndugu zangu.
Mbona mimi nikiwa na tatizo nakomaa nalo a-z peke yangu?
We una roho ya korosho tu. Na utakuwa umerogwaUzi umefutwa