CCNP Engineer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 462
- 1,276
Sky are you a doctor ??
Doctor wapi hajui kitu huyo.
Endoscopy anaita X-ray!!!
Sky are you a doctor ??
Mganga mfawidhi huyo mkuu, yupo deep sana full kushusha nondo tu
Vipi majibu yanasema una tatizo gani?wasaalam wana jf doctor
leo nimeenda hospital kwa matatizo yangu ya tumbo na doctor amenitaka kufanya kipimo cha colonoscopy,jamani naombeni ushauri wenu maana naogopa sana .
samahani nimekosea heading ilitakiwa iwe colonoscopy
DU kweli aisee, nitakuwa namkwesheni sasa maswali ya afyaMganga mfawidhi huyo mkuu, yupo deep sana full kushusha nondo tu
wasaalam wana jf doctor
leo nimeenda hospital kwa matatizo yangu ya tumbo na doctor amenitaka kufanya kipimo cha colonoscopy,jamani naombeni ushauri wenu maana naogopa sana .
samahani nimekosea heading ilitakiwa iwe colonoscopy
Hapana mwe madocta wana kwenda shuleSky are you a doctor ??
Hahaa, upo kwenye sekta ya afya????Hapana mwe madocta wana kwenda shule
Colonoscopy inaweza kukata na kipande cha tissue km kuna tumor au mass kwa ajili ya vipimo zaidi.usiogope mungu atakusaidia!
Uzuri wa utumbo hata kama una tatizo wanaweza kuukata na kuunganisha na pipe ingine.pia utumbo mpana unaweza kutolewa wote kisha pipe inaungwa hadi tumboni chini ya kitovu panatobolewa haja kubwa inakuwa inatokea hapo na kuingia katika mfuko maalum ambao mgonjwa utakuwa unaubeba na kutembea nao.lakini mungu atakusaidia haitafikia huko
effect kama zipi mkuu hebu tupe na wewe tujue mapemaNooo ,kutokana na side effects wanazozielezea
Mkuu umefikia wapi juu kipimo cha colonscopywasaalam wana jf doctor
leo nimeenda hospital kwa matatizo yangu ya tumbo na doctor amenitaka kufanya kipimo cha colonoscopy,jamani naombeni ushauri wenu maana naogopa sana .
samahani nimekosea heading ilitakiwa iwe colonoscopy
Gharama yake ni shingap iko kipimo na umefanyia hospital gani mkuunilishafanya mkuu
Maana nashida kama yako vp matokeo yako imebainika nikitu gani..Gharama yake ni shingap iko kipimo na umefanyia hospital gani mkuu