Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Duh mkuu hapa umemtia moyo ama umemtisha?
Watu wanapenda kuonekana wanajua kwa kuongea vitu vingi ambavyo hata siyo relevant.
Duh mkuu hapa umemtia moyo ama umemtisha?
Maana pm yng inazingua sjui nikwangu tu..ndo maana nimeamua nikufuate kwa huku kwenye nyuzi yakowasaalam wana jf doctor
leo nimeenda hospital kwa matatizo yangu ya tumbo na doctor amenitaka kufanya kipimo cha colonoscopy,jamani naombeni ushauri wenu maana naogopa sana .
samahani nimekosea heading ilitakiwa iwe colonoscopy
Hamna side effects ndugu yangu!Nooo ,kutokana na side effects wanazozielezea
Huko nairobi gharama zake zikoje za hiko kipimo...na lugha vp uko hospital kingereza wengne hakipandiHamna side effects ndugu yangu!
Watakupiga nusu kaput, ukiamka kazi imekwisha!
Lakini kama unapesa safi nenda Nairobi hospital kwa professor lule, alimtibu baba yangu three years ago amepona kabisa!
Pole sana na Mola awe nawe
Mkuu vp nakutafuta tuongeewasaalam wana jf doctor
leo nimeenda hospital kwa matatizo yangu ya tumbo na doctor amenitaka kufanya kipimo cha colonoscopy,jamani naombeni ushauri wenu maana naogopa sana .
samahani nimekosea heading ilitakiwa iwe colonoscopy
Mkuu achana na maneno ya watu wahovyo hovyo, na nyinyi mnae post vitu visivyo julikana wakati watu wanamatatizo na yanahitaji ufumbuzi hii sio sahihi sana ,kwa kawaida hii kipimo kinaangalia mambo mengi ikiwepo vidonda,uvimbe kwenye utumbo mkubwa ,nilishawahi kufanyiwa hiki kipimo ni rahisi sana mkuu toa hofu kabisa.wasaalam wana jf doctor
leo nimeenda hospital kwa matatizo yangu ya tumbo na doctor amenitaka kufanya kipimo cha colonoscopy,jamani naombeni ushauri wenu maana naogopa sana .
samahani nimekosea heading ilitakiwa iwe colonoscopy
Gharama yake iko kipimo nishingap na ulifanyia hospital ganiMkuu achana na maneno ya watu wahovyo hovyo, na nyinyi mnae post vitu visivyo julikana wakati watu wanamatatizo na yanahitaji ufumbuzi hii sio sahihi sana ,kwa kawaida hii kipimo kinaangalia mambo mengi ikiwepo vidonda,uvimbe kwenye utumbo mkubwa ,nilishawahi kufanyiwa hiki kipimo ni rahisi sana mkuu toa hofu kabisa.
thanks mkuu nimeshafanyaMkuu achana na maneno ya watu wahovyo hovyo, na nyinyi mnae post vitu visivyo julikana wakati watu wanamatatizo na yanahitaji ufumbuzi hii sio sahihi sana ,kwa kawaida hii kipimo kinaangalia mambo mengi ikiwepo vidonda,uvimbe kwenye utumbo mkubwa ,nilishawahi kufanyiwa hiki kipimo ni rahisi sana mkuu toa hofu kabisa.
Shida yako imegundukika ni nin..mkuu nimefanyia regency hospital gharama kama 2k hivii ila kama bima unayo unatumia ,japo kunakua na dawa za kununua zinazocost kama 70000 tu .its simple ila usiwe tu na woga kama niliokua nao mimi
Unapigwa nusu kaputi au maana na mim nataka nije hapo regency kufanya iko kipimo..na unaonana na daktar aliespecialize ktk nin. .. Na umefanya colonscopy au endoscopyShida yako imegundukika ni nin..
Mkuu kwako imeonekana shida ni nin mkuu ilioinakusumbua..na apo hosptal regency umeonana na daktar gan..maana nami nataka niende apo..vp ulifanya endoscopy au colonscopywasaalam wana jf doctor
leo nimeenda hospital kwa matatizo yangu ya tumbo na doctor amenitaka kufanya kipimo cha colonoscopy,jamani naombeni ushauri wenu maana naogopa sana .
samahani nimekosea heading ilitakiwa iwe colonoscopy
Marinda hakuna tenayaah nus kaputi inahusika mkuu
Vpimo gan mkuu hivo unaenda kufanyawameniambia hamna shida mkuu, naenda kufanya vipimo vingine zaidi
Kinafanywaje iko kipimpweeeee hamna bana kipimo kinavyofanywa sio kama unavyofikiria
Mkuu endoscopy haina nusu kaputi,maana nilijaribu kufanya hivyo ikashindikana kumeza ule mpira huku unaona yataka moyo,na hakuna kipimo kingine zaidi ya hicho kwa ajili ya vidonda vya tumboyaah nus kaputi inahusika mkuu