Nimeamua kusema hadharani

Nimeamua kusema hadharani

Michigan boy

Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
84
Reaction score
84
mambo vp wana mmu

jaman naomba niende direct kwenye hoja

niwe muwaz jamani kwa uchunguzi nilioufanya sehem mbalimbali siku hizi wanaume wengi hatuna uwezo wa kupiga round zaid ya tatu kunako sita kwa sita tena hapo umejitahidi sanaaaa lakini wanaume wengi tunaishia kupiga goli moja na kulala hoi

najua wapo wanaume watakuja kupingana na mimi ila mimi nimejaribu kufikisha ujumbe kwenye jamii kuwa hili tatizo ni kubwa tofauti na sisi wanaume tunavyojaribu kulificha,

Unakuta mtu una uzito wa kawaida gym kila siku huna mafuta ya ajabu ajab lakini ukifika kitandani unapiga viuno viwili vitatu tayari mechi imeisha na usingizi juu

Hivyo nawashauri wanaume wenzangu tujikite sana kwenye kuzama chumvini na kunyonya vitu vingine ambavyo vitamfanya mwanamke afike kileleni haraka. mimi nikianza kuzama chumvini basi nakaa zaidi ya saa nzima kwa ajili ya kujihami

im sorry kwa wababa wote kama nitawakwaza lakin kwenye discussion nyingi tunazokaa sisi wanaume kilio ni hiki

Wengine wanahangaika kupaka unga wa kutoka kongo (mundende) kwenye vichwa vya dushe au wengine tunameza vidonge flani vidogo mnooooo unakimeza basi utapiga show hadi mwanamke aombe poo

ila hizi dawa mara nyingi tunazitumia kwa wanawake ambao ni mara ya kwanza kukutana nao au wake za watu au wanawake wenye pesa lakini siku ukimshtukiza mwanaume kama hajapiga hizi dawa kina dada nawaambia lazima mkutane na vioja

Mimi niliwahi kuvitumia vidonge hivi hata kwa baadhi ya wana mmu niliokutana nao kama wanne.

sorry guys kama nitawakwaza ila mficha maradhi kifo humuumbua

mimi sio mgeni humu ila imebidi nifungue akaunti mpya wiki hii ili niwe huru kwenye kuchangia mawazo
 
Mimi jana nimempumlia dem saa nzima niko juu dem kakojoa, kalia lakini mwanaume sikuchuka.nikapiga goli Moja mataaaataaa ICBM. Sasa hapo mleta uzi utaniweka group gani!!! Si kutumia mambo yenu ya congo dust wala supu ya pweza!!!! Ni mara nyingi tu napiga hizi ICBM (InterContinental Ballistic Missile)
Hatareee!!!
 
Mimi jana nimempumlia dem saa nzima niko juu dem kakojoa, kalia lakini mwanaume sikuchuka.nikapiga goli Moja mataaaataaa ICBM. Sasa hapo mleta uzi utaniweka group gani!!! Si kutumia mambo yenu ya congo dust wala supu ya pweza!!!! Ni mara nyingi tu napiga hizi ICBM (InterContinental Ballistic Missile)
Hatareee!!!
asee hongera sana ila wengi wao tunajisifiaga ila kwenye vitendo bashite
 
Kumwandaa mwanamke na suala ziima la kungonoka, akili inabidi itulie kama upo kwenye mtihani..

Mapenzi ni sanaa, na katika sanaa inabidi pawe na ubunifu..
 
Back
Top Bottom