Nimeamua kurudi utotoni kwa kufanya haya

myself scenario

JF-Expert Member
Jul 5, 2015
347
213
Salaam

Nimeanza tena kuwafuga njiwa ambao ndio ilikua furaha yangu ya utoto enzi za shule ya msingi na Secondary(form1&2)

Ni denge wapenda Amani na nyumba yenye ugomvi hawakai

Pia wana hisia pale yanapotokea matukio kama Msiba na Mambo ya kishirika...

Wana mapenzi ya kweli kuliko hata sisi binadamu.

Pia huwa wanaleta baraka ndani ya nyumba..

Hawa ndege wamenifanya niufurahie sana utoto wangu kwani nilikua nao wengi zaidi ya 150..

Japo sasa ni mtu mzima na nimeoa tayari,Nimeamua kuirundisha tena hii furaha..

Mnaopenda Njiwa kama mimi Tutambuane tafadhari
 
"Pia wana hisia pale yanapotokea matukio kama Msiba na Mambo ya kishirika..."
Hii ipo vipi mkuu
 
"Pia wana hisia pale yanapotokea matukio kama Msiba na Mambo ya kishirika..."
Hii ipo vipi mkuu
Nyumbani pakitokea msiba ni lazima uwaambie..huwa tunafanya pale unapo wapa chakula "jamani kumetokea msiba ndio maana mnaona watu wengi"..ukisha waambia hivyo huwa hawaruki hovyo na mara nyingi hutulia tu ndani..

ila usipo fanya hivyo huruka hovyo na kuondoka nyumbani,wanaweza baki wachache...

Mchawi akija huwa hawatulii watalia usiku kucha na kelele bandani mwao
 
Si hivyo tuu ni moja ya kazi ya kujiajili njiwa mmoja sasa ni yapata 3000-5000 akiwa ktk mauzo ya barabarani
na yule mweusi ni 9000 ila wapo wale njiwa tausi wenye manyoya mengi mkiani hao huuzwa kuanzia laki moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom