MR Kilimanjaro
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 249
- 364
Wakuu salam
Leo asubuhi nimeamka vizuri nikawa nipo kijiweni tunapiga stori sababu mvua ilikua imenyesha hivyo nilikua sina kazi.
Nyumayangu akaja jaama ambae ni bubu na hasikii kama utani kanivua kofia ,na mm kama utani nikamtishia kumvua suruali na yeye akanianza kama kunipiga na mimi nikadhani utani, eh nikapata 1 nikakwepa ya 2 ahaaa nikaona hapa amna utani nikajibu mashambulizi sasa mimi namhurumia maana ni bubu na kiziwi watu wakamzuia mimi nikasogea kando maana sikutaka ugomvi nae bado akanifwata akanipiga ya sikio, dahh kaamsha mizuka yote nimempiga za uso za kutosha nikachukua na jiwe nikamwongeza la kichwa kazimia kama amekufa nimetimka hadi nyumbani nimefika nikajuta sana huu mkosi umenitokea wapi? Muda huo sijui kama nimeua au nitakamatwa?
Nilikosa majibu.
Nishanawa nimekaa eh mara namuona anakuja hado nyumbani nikajikoki nashangaa ananiomba msamaha
Kumbe wakati tunaparangana kule kijiweni majamaa wamenichomoa elfu 30 mfukoni
Wakamjaza upepo kua mimini mbaya nimeenda hom kuchukua panga, mara wanamwambia nimepoteza simu naenda kumshitaki
Ndio maana kaja kuniomba msamaha na ukicheki mimi mtaani ni mpole ila nikiwaga na hasira najulikana. Ila tumeyamaliza kiume tumekula pamoja na kunywa pamoja mambo yameisha ila kisirani nikibaya sana.
Sijui ningeua ingekuaje au ningefugwa.,
Mtu anaweza kukuletea balaa maisha yote
Hasa mazoea na utani kila mara
Inawezekana na wewe imesha wahi kukutokea tupe kisa tuzidi kuelimika na kuepuka mikosi kama hiyo.
Leo asubuhi nimeamka vizuri nikawa nipo kijiweni tunapiga stori sababu mvua ilikua imenyesha hivyo nilikua sina kazi.
Nyumayangu akaja jaama ambae ni bubu na hasikii kama utani kanivua kofia ,na mm kama utani nikamtishia kumvua suruali na yeye akanianza kama kunipiga na mimi nikadhani utani, eh nikapata 1 nikakwepa ya 2 ahaaa nikaona hapa amna utani nikajibu mashambulizi sasa mimi namhurumia maana ni bubu na kiziwi watu wakamzuia mimi nikasogea kando maana sikutaka ugomvi nae bado akanifwata akanipiga ya sikio, dahh kaamsha mizuka yote nimempiga za uso za kutosha nikachukua na jiwe nikamwongeza la kichwa kazimia kama amekufa nimetimka hadi nyumbani nimefika nikajuta sana huu mkosi umenitokea wapi? Muda huo sijui kama nimeua au nitakamatwa?
Nilikosa majibu.
Nishanawa nimekaa eh mara namuona anakuja hado nyumbani nikajikoki nashangaa ananiomba msamaha
Kumbe wakati tunaparangana kule kijiweni majamaa wamenichomoa elfu 30 mfukoni
Wakamjaza upepo kua mimini mbaya nimeenda hom kuchukua panga, mara wanamwambia nimepoteza simu naenda kumshitaki
Ndio maana kaja kuniomba msamaha na ukicheki mimi mtaani ni mpole ila nikiwaga na hasira najulikana. Ila tumeyamaliza kiume tumekula pamoja na kunywa pamoja mambo yameisha ila kisirani nikibaya sana.
Sijui ningeua ingekuaje au ningefugwa.,
Mtu anaweza kukuletea balaa maisha yote
Hasa mazoea na utani kila mara
Inawezekana na wewe imesha wahi kukutokea tupe kisa tuzidi kuelimika na kuepuka mikosi kama hiyo.