The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 2,327
- 3,203
wahi hospital mkuuNimejaa na wasiwasi wakuu, Jana jioni nilianza kama dalili za mafua leo asubuhi nimeamka na homa kabisa, ila mafua yapo kwa mbaali. moyo umetanda hofu kwa kweli
wahi hospital mkuuNimejaa na wasiwasi wakuu, Jana jioni nilianza kama dalili za mafua leo asubuhi nimeamka na homa kabisa, ila mafua yapo kwa mbaali. moyo umetanda hofu kwa kweli
Tumia njia hii hapa itaweza kukusaidia angalia hiyo video hapo chiniNimejaa na wasiwasi wakuu,
Jana jioni nilianza kama dalili za mafua leo asubuhi nimeamka na homa kabisa, ila mafua yapo kwa mbaali. moyo umetanda hofu kwa kweli
Sasa kama ana Corona si ndio anaenda kusambaza kwa watu wengine kwenye daladala, na hapo hospitali?Ni bora uende tu kuliko kusikiliza hali ikoje
Kichwa hakiumi
Ni hatari najua sasa akikaa nyumbani bila tiba hali si itakuwa mbayaSasa kama ana Corona si ndio anaenda kusambaza kwa watu wengine kwenye daladala, na hapo hospitali?
Maana si kama wenzetu ambao vipimo vya corona vipo hospitali zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna namba za simu zipo mtu unatakiwa kupiga kama unajihisi una dalili za Corona.Ni hatari najua sasa akikaa nyumbani bila tiba hali si itakuwa mbaya
Pitia posts za juu ameambiwa atumie tiba hiyo ya lemon .
OkayKuna namba za simu zipo mtu unatakiwa kupiga kama unajihisi una dalili za Corona.
Utapata msaada.
Sio kwenda kusambaza zaidi kwenye basi na kwa wagonjwa wengine hospitali ambao unaweza kuta kinga zao ziko chini
Sent using Jamii Forums mobile app

, ni malaria
Nimejaa na wasiwasi wakuu,
Jana jioni nilianza kama dalili za mafua leo asubuhi nimeamka na homa kabisa, ila mafua yapo kwa mbaali. moyo umetanda hofu kwa kweli
Sukutua kooni kwa maji ya uvuguvugu yenye chumviKweli mkuu.
sina mkuu, ila dalili zipo mana koo ipo kavu kama nataka kufanya mafua ni kikohozi
Kanunue machungwa ya, kutosha mpk jioni hakikisha umekula walau machungwa 10-15 njoo kesho utwambie km bado unaumwa.Nimejaa na wasiwasi wakuu,
Jana jioni nilianza kama dalili za mafua leo asubuhi nimeamka na homa kabisa, ila mafua yapo kwa mbaali. moyo umetanda hofu kwa kweli