Ukweli unabaki ile minofu waliokuwa wakichukua wazungu na kutuachia sie kula mabaki ilituathiri sana sana hata kwenye ufahamu wetu na wattoto zetu mashuleni..nasema hivi nikiimanisha kitendo cha wasukuma kuamua kumwondoa masha na wenzake kinaonyesha jinsi gani minofu ya samaki inavyofanya kazi na sasa wanataka kuwa na meya wa upinzani..hili najua litawashtua sana wana CCM lakini ukweli utabaki mlitutesa sana na kutulisha makapi sasa tumeamua kuamka......
Mwisho
Nawatakieni uchaguzi mwema wa umeya wa mwanza na kufunguliwa ufahamu si hapo tu bali katika kila sekta mnaotakiwa kudai haki zenu kila la kheri
wabeja sana mami!!......ngojaga nakowele obese banhu ba ng'wanza totena nchezo!!! bhebhe lekaga.....
no meya wise alenga chadema......
ngeshage o' sengi wane.....makaribuni mwaza wajameni!!!
Unajitahidi ila ngoja nikurebeshe kwenye redwabeja sana mami!!......ngojaga nakowele obese banhu ba ng'wanza totena nchezo!!! bhebhe lekaga.....
no meya wise alenga chadema......
ngeshage o' sengi wane.....makaribuni mwaza wajameni!!!
YAANI NILITAKA KUENDELEA ROHO WA MUNGU AKANIAMBIA BASI MSAMEEHE MASHA...kwa kweli minofu sasa inatusaidia na natangaza wajameni mapanki sasa basi tusikubali na samakii zetu kupelekwa na wale wa russia kwenye ndege tumekalia uchumi wenyewe hilo lisikubaliwe hata kidogo......
wasukuma oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee !!!!!
Unajitahidi ila ngoja nikurebeshe kwenye red
nchezo=Wihebha
makaribuni=tuliho
wajameni=wang'wise
Nulanganga unene kisukuma sha mkaya gete.
sijui ila mimependa mnavyoandika hapa! Lugha ya BABAMKWE hiyo! HONGERENI SANA.Unajitahidi ila ngoja nikurebeshe kwenye red
nchezo=Wihebha
makaribuni=tuliho
wajameni=wang'wise
Nulanganga unene kisukuma sha mkaya gete.
wabeja sana mami!!......ngojaga nakowele obese banhu ba ng'wanza totena nchezo!!! bhebhe lekaga.....
no meya wise alenga chadema......
ngeshage o' sengi wane.....makaribuni mwaza wajameni!!!
Ukweli unabaki ile minofu waliokuwa wakichukua wazungu na kutuachia sie kula mabaki ilituathiri sana sana hata kwenye ufahamu wetu na wattoto zetu mashuleni..nasema hivi nikiimanisha kitendo cha wasukuma kuamua kumwondoa masha na wenzake kinaonyesha jinsi gani minofu ya samaki inavyofanya kazi na sasa wanataka kuwa na meya wa upinzani..hili najua litawashtua sana wana CCM lakini ukweli utabaki mlitutesa sana na kutulisha makapi sasa tumeamua kuamka......
Mwisho
Nawatakieni uchaguzi mwema wa umeya wa mwanza na kufunguliwa ufahamu si hapo tu bali katika kila sekta mnaotakiwa kudai haki zenu kila la kheri
Unajitahidi ila ngoja nikurebeshe kwenye red
nchezo=Wihebha
makaribuni=tuliho
wajameni=wang'wise
Nulanganga unene kisukuma sha mkaya gete.
...Tusahihishane kidogo. CCM haikumlisha mtu mapanki na haitaweza kufanya hivyo asilani.
...Watanzania wengi hupenda vya bure au vya rahisi sana. Hii inajidhihirisha pia kwenye bidhaa feki tunazopenda kununua, ili hali, hazidumu hata kidogo.
...Ndugu zangu wa mwanza na maeneo mengine wanaokula ma-punk wangeweza kuyaepuka, ila wameamua wenyewe na hawakushurutishwa.
...Kama wengine wanaweza kula miguu na utumbo wa kuku, koromeo na mapafu ya ng'ombe......kwanini wenzao wasile ma-punk?
...Inaweza kuwa ni umasikini, kutaka vya rahisi, utamaduni, n.k
...Nchi hii watu wakichagua viongozi bomu...ccm....wakijenga shule na kuacha kuweka madawati...ccm...wakiacha kujenga nyumba za walimu...ccm...
...People! we need to be serious at times. We are our very own enemies!