Kafanyiwa visa na vituko lakini bado alitoka na kusema hadharani kwamba hatorudi CCM.
Tumemuona Lowasa akitangaza kurudi ccm mchana kweupee, lakini Sumaye hakutetereka, anatikiswa lakini kakataa kutikisika ni wakati sasa watu kumuamini na kumpa heshima ndani ya chama.
Binafsi naona huyu mtanzania mwenzetu, anayo nia ya kweli kuitokomeza ccm tumuunge mkono.
Tumemuona Lowasa akitangaza kurudi ccm mchana kweupee, lakini Sumaye hakutetereka, anatikiswa lakini kakataa kutikisika ni wakati sasa watu kumuamini na kumpa heshima ndani ya chama.
Binafsi naona huyu mtanzania mwenzetu, anayo nia ya kweli kuitokomeza ccm tumuunge mkono.