Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,611
- 8,096
Kwenye mada moja kwa moja kile kilichotokea jana kwa kwa wanachama wa CHADEMA,19. Halima Mdee na wenzake kuwafukuza rasmi uanachama wengi hawakukitegemea.
Wengi walijua wale wabunge wa kujipeleka wangependelewa na kuonewa huruma either walitegemea waachiwe wamalizie muda wa ubunge waliojipeleka au ubunge wao usitambuliwe bali waendelee kuwa wanachama.
Nisema tu ukweli,hata mimi sikutegemea maamuzi ya kuwafukuza. Lakini pia kwa jinsi hatua za kidemocrasia zilivyofuatwa za kupiga kura.
Ni hatua za uhuru na democracy kila mtu ashiriki maamuzi. Hatimae chini ya mwenyekiti Mbowe maamuzi huru yamepatikana,nimeridhishwa na hayo maamuzi kwa 100%. Huyo ndio Mbowe kiongozi.
Ushauri wangu kwa akina Halima Mdee kwa sasa wawe watulivu. Baadae waandike barua za kutambua makosa yao na waombe msamaha kwa dhati kabisa. Chini ya mwenyekiti Mbowe watarudishwa kundini.
Viva CHADEMA viva Mbowe.
Wengi walijua wale wabunge wa kujipeleka wangependelewa na kuonewa huruma either walitegemea waachiwe wamalizie muda wa ubunge waliojipeleka au ubunge wao usitambuliwe bali waendelee kuwa wanachama.
Nisema tu ukweli,hata mimi sikutegemea maamuzi ya kuwafukuza. Lakini pia kwa jinsi hatua za kidemocrasia zilivyofuatwa za kupiga kura.
Ni hatua za uhuru na democracy kila mtu ashiriki maamuzi. Hatimae chini ya mwenyekiti Mbowe maamuzi huru yamepatikana,nimeridhishwa na hayo maamuzi kwa 100%. Huyo ndio Mbowe kiongozi.
Ushauri wangu kwa akina Halima Mdee kwa sasa wawe watulivu. Baadae waandike barua za kutambua makosa yao na waombe msamaha kwa dhati kabisa. Chini ya mwenyekiti Mbowe watarudishwa kundini.
Viva CHADEMA viva Mbowe.