Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,348
- 5,977
Chanika ya London mkuu,uongo?Hii itakuwa masaki ya chanika mkuu,uongo?!
Chanika ya London mkuu,uongo?Hii itakuwa masaki ya chanika mkuu,uongo?!
..duh hapa kama kwangu....umepiga picha kwangu nini?....Njoo mie nikuoe maana naishi Masaki..View attachment 485560 View attachment 485561 View attachment 485562
London ya Lizabon mkuu,uongo?Chanika ya London mkuu,uongo?
Shida iko wapi kama mnapendana?Habari za leo wapendwa,
Niliota na kuwaza siku nitakayosema 'I do', hayawi hayawi yamemkua, nimepata mchumba na ndoa ni baada ya Kwaresma. Tatizo ni kuwa huyu jamaa tumekutana Bongo akiwa anaishi Mbezi. Nilivyokuwa ninahesabu siku za kusogea kutoka huku kwetu Kwamtogole niende Mbezi.
Sasa bwana usiku wa jana, jamaa ananifahamisha kuwa amepata kazi South Sudan, ndoa ninaitamani lakini kwenda kuishi Sudan ni kitu ambacho sijawahi kukiwaza. Ninachance ya kughairi kabla sijasema 'I do'. Nikishakuwa mke sitakuwa na maamuzi tena.
Ushauri tafadhali.
Mme mtarajiwa ana kazi gani?Mkuu afadhali uwe kwako, umetoka sokoni umepotea njia na hawa ndiyo inabidi uwaulize njia ya kurudi kwako.
Kila siku washauri wanasema katika mahusiano ni muhimu kujua ikiwa mnafunga ndoa mhadili mtaishi wapi mapema kuepuka migogoro ona sasa.kama huwezi kwenda huko kua muwazi tu mapema ili achukue maamuz take.Habari za leo wapendwa,
Niliota na kuwaza siku nitakayosema 'I do', hayawi hayawi yamemkua, nimepata mchumba na ndoa ni baada ya Kwaresma. Tatizo ni kuwa huyu jamaa tumekutana Bongo akiwa anaishi Mbezi. Nilivyokuwa ninahesabu siku za kusogea kutoka huku kwetu Kwamtogole niende Mbezi.
Sasa bwana usiku wa jana, jamaa ananifahamisha kuwa amepata kazi South Sudan, ndoa ninaitamani lakini kwenda kuishi Sudan ni kitu ambacho sijawahi kukiwaza. Ninachance ya kughairi kabla sijasema 'I do'. Nikishakuwa mke sitakuwa na maamuzi tena.
Ushauri tafadhali.
He has got a new job from al-shabab & sons.com.Mme mtarajiwa ana kazi gani?
Nina wadogo zangu wa Kisukuma kibao, nistuwe ukiwa single mama..Hali ya usalama wa kule ndiyo tatizo na mimi nikiwa mgeni kwenye nchi ndani ya ndoa change.