Miaka 42 bado hujaoa tu? Na kwa Mjomba wako unaenda mara kwa mara kufanya nini? CCM imeharibu sana vijana, acha upumbavu ondoka kwa Mjomba ukajitegemee.Uncle alifanikiwa kuoa mke mzuri akamzalia kitoto kizuri cha kike miaka ya nyuma kilikuwa kidogo tu nimekizidi miaka 20 imagine chenyewe ndio kinazaliwa.
Leo hii kimefikisha miaka 22 kimeiva, hips zimechomoka, shavu dodo, kiuno nyigu Ngozi kama imepigwa msasa laini. Yaani ni hatari nimejikuta napata majaribu mengi sana kwa kweli.
Mtoto amekua na anafaa kabisa kuliwa na yeye ananiona mimi bonge la bro...umarekani marekani mwingi sana. Namcheckii halafu nasema "Hiiiiiiiiiiiiiiiiii" bhaghosha....kwa kweli Muumba aingilie kati tu.
Basi ili nisisababishe matatizo ya kifamilia nimeamua kukata mguu kabisa kwa Mjomba maana sasa kame graduate ndio kabisa kapo home. Nikienda hivi mpaka kanasema "bro unaniangalia mpaka nashindwa tembea" basi hapo nacheka cheka tu kama fala.
Niliona sababu mimi ni mtu mzima najielewa, nina akili, busara, hekima na elimu ya juu basi niamue jambo la busara siendi kwa uncle hata iweje nmekuwa nikigoma kabisa kwenda maana naona tutatafutiana lawama tu siku za usoni.
Nawashauri vijana ukiona kama kuna jambo linakuvutia ila si sahihi likwepe mimi sitokanyaga tena kwa mjomba labda yule binti akiondoka.
Wewe si ndo inajulikana ulizaa na baba yako? Au unadhani tumesahau?Kwa mawazo ya mtoa mada sishangai kitandani hata binti zake m. Mimi sijatoka familia ya laana tafadhali wewe kama baba ako analala na dada zako na wewe na na mama ako na mawazo yote ni kuwa za ngono na wana familia mrudie Mungu Coz it will pass to four generations. All the best
We sijui mtihani wako wa darasa la saba ulifanyaje maana si kwa upumbavu ulio nao kichwani. Yaani kiswahili chepesi hiki nacho umeshindwa elewa? 😳😳😳😜😜😜😜😜😜😜😜Miaka 42 bado hujaoa tu? Na kwa Mjomba wako unaenda mara kwa mara kufanya nini? CCM imeharibu sana vijana, acha upumbavu ondoka kwa Mjomba ukajitegemee.
tatizo lipo kubwa sana tu hapo kama unaona vizuri, huwezi tamani mtoto yoyote ambaye umemuhudumia kama mwanao akiwa mdogo, tunaotamani ni hawa tusiowajua...Tatizo liko wapi?
Niliona sababu mimi ni mtu mzima najielewa, nina akili, busara, hekima na elimu ya juu basi niamue jambo la busara
Tumechelewa Sana Ndugu ZanguUmri wako hauakisi ulichokiandika.
Huu mwezi utakuwa mrefu sana sababu shule zimefungwa
Kwani Profesa Kapuya kampita miaka mingapi kale kamke kake.. 'na huyu aliyekuwa juzi juzi juzi!!?? Mengi alimpita mingapi Klyn !!??Miaka zaidi ya 40, siyo tu kuandika hata kufikiria kitu kama hicho umri wake hauruhusu. Yaani angezaa akiwa na miaka 20, huyo ni mtoto wake wa kuzaa.
Inasikitisha sana kuona mtu kama wewe tena mwanafamilia unawaza ujinga kama huo juu ya mdogo wako ambae ni damu yako kabisaa
Hapa wamama tupate funzo, ukishakua na mabinti nyumbani hawa wageni wengine sio wakuwachekea, ni kuwapiga pini tu