Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Mimi ni mkristo kindakindaki kanisa kwa kifupi KKKT. Liturgia letu lina sehemu ya kuombea viongozi wa kitaifa/kijamiii. Sasa kwa utaratibu huo kuna kiongozi huwa anatajwa kuombewa ambaye ano roho mbaya balaa kiasi ya kwamba nishindwa kushiriki kipande hicho. Kwa kweli napata taaabu sana. Na kwa bahati mbaya nipo dayosisi inayoongozwa na Askofu purpet wa chama sheitwani kisiasa. Imenibidi nikae kando.
Lakini tabu ni kuwa imani yangu inanielekeza kuwa Kristo alikuja kwa ajili ya wenye dhambi na si watakatifu. Kwa kweli NAPATA TAABU SANA
Lakini tabu ni kuwa imani yangu inanielekeza kuwa Kristo alikuja kwa ajili ya wenye dhambi na si watakatifu. Kwa kweli NAPATA TAABU SANA