Umefanyaa maamuzi magumu na mazuri piaa, kuajiliwa na kuolewa vinatofautiana kdg tu.
Kwan kuna tofauti gani kati ya Mshahara na Mahali? Au kusubiria majibu ya barua ya App na kusubiria uletewe barua ya posa?
Asalaaale njemba zinaolewa bila kujijuaa,
Hahaa TUCTA OYEEEE?
CCM OYEEEE?
25% OYEEE?
Shaaaabash tutakutana either kileleni au bondeni, hamna kubak katikati shwain kbsa, asahv kusurvive ni vitu viwili tu vinahtajka, either utumie ubongo au utumie ulimi, namaanisha uwe smart sana kichwani au uwe mnafk kiwango cha lami mdomoni