Nime-break up na mpenzi wangu...

Ni kweli, saikolojia pia inasema kuwa mwanamke anapokueleza tatizo lake hahitaji umsaidie, anataka tu atoe ya moyoni baaas!

Saafi, kwenye kile kitabu kikubwa cha 'understanding women' niko ukurasa wa 175300 lakini nimeambulia hili tu hadi sasa!
Maskini wee, ushakosea huhitaji kuwaelewa hawa viumbe we nenda nao tu kama kipofu muongoza njia ukitaka kuwaelewa ndivyo hutowaelewa
 
Ni kweli, saikolojia pia inasema kuwa mwanamke anapokueleza tatizo lake hahitaji umsaidie, anataka tu atoe ya moyoni baaas!

Saafi, kwenye kile kitabu kikubwa cha 'understanding women' niko ukurasa wa 175300 lakini nimeambulia hili tu hadi sasa!
If you want to understand & be understood, dress up -- vazi liwe soaked ndani ya unassuming love. Put your logics aside and just love.
 
Maskini wee, ushakosea huhitaji kuwaelewa hawa viumbe we nenda nao tu kama kipofu muongoza njia ukitaka kuwaelewa ndivyo hutowaelewa
Hizi assumptions za wavivu wa kufikiri ndizo zinawaharibia mahusiano.
 
Hakuna mkuu, mapenzi hayana formula hii inaweza kuwork kwa huyu ukaiapply wewe ukafail, hakuna specific formula
Hiyo ni assumption nyingine ambayo wengi wanatumia kuhalalisha failures zao. Don't believe everything you hear or read.
 
Wewe unahisi mapenzi yana formula mkuu?
Siyo suala la "kuhisi" kama unavyodhani. Umeshajiuliza kwa nini mada ya mahusiano inafundishwa!??? Hivi inafundishwaje kama haina fomyula!??? Those who fail this mtihani ni wale wanaoanza kusolve wrong equation. Aliyegundua MAGAZIJUTO eikeiei BODMAS aliona mbali sana. Hakuna kitu kisicho na fomyula kwenye dunia hii. Hata kifo chenyewe kina fomyula yake matata tu.
 
Mimi napita tu
 

Attachments

  • 2616472_understanding-women-book-angle.jpg
    17.5 KB · Views: 10
  • Internet_20201122_101720_17.jpeg
    6.9 KB · Views: 9
engn
Tengeneza kwanza Simu, inawezekana hii meseji Sivyo ulitaka iende.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…