SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,077
- 13,951
1. Sweetest communication skills.Katika pitapita zangu sijawahi kukutana na msichana mgumu kama huyu! Nimetongoza mpka nukta ya mwisho....Nimetumia kila njia nimnase ila mpka sasa sijafanikiwa[emoji34]
Pesa anazo, yuko njema sijui nifanyaje! Kanisani naenda na nafanya michakato anione tu kama na mie huwa nimo
Nipeni mbinu zaidi wakuu nimtafune! Naona nakaribia ku-loose confidence kwakuwa yuko vizuri mno!
Niliwahi kumshika chuchu barabarani mara moja tu tena kibishi, ilikuwa nigh fulani hivi....Akanipotezea wiki zaidi ya 2...
Watu kama hawa huwa mnatumia njia gani kuwatafuna? Ukimwita sehem anatokea zingine anachomoa[emoji34][emoji34][emoji34]
2. Nia ya dhati ya kumuoa. Kama unamtaka onesha vitu hivyo.
3. Kigezo cha kuwa na pesa kisikutishe.
-Mwanamke hata akiwa Waziri, ukiwa DC bado atahitaji umhudumie.
-
4. Zawadi, yeyote bila kujali umeinunua kwa gharama ndogo au kubwa.
5. Usichoke kumtoa out, ipo siku atakuelewa na utambue hao viumbe tumeumbiwa sisi wanaume. So jiamini, one day yes.
Ila umuoe kabisa.