BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
nipo very determined ku win her heart once again for better good. . .
ndugu, sijarudia kumpiga . .Nilivyomtia makofi,niliapa kuto mgusa tena! Juzi nilimbwabwajukia tu. . .Bila kumaanisha! Ila dah. .<<. .Ngoja nilie kidogo! Majirani hawajaamka bado. .>>
moyo unanituma niskate tamaa!Nimpiganie uyu uyu!
Kumbe usharudia mara kadhaa, na sasa unamuahidi eti unaacha pombe for two years only heheheh!! bora akupige chini coz hujielewi kabisa.
nina mashaka kama una mpango wa kuacha pombe ili akurudie umweke ndani then uendelee na pombe zako au una mpango wa kuacha pombe kabisa......
Ioa ninachojua mtu anayekunywa pombe na kupiga mke au kutukana huwa haachi tabia hiyo.......
Kaumia sana moyoni,kwa kashfa nilizotoa,binafsi hata moja sikumaanisha! .
Jana kaniambia tuachane,imeniuma,nakumbembeleza ! Nimemwambia nastop pombe kwa 2years. . .
Ni mchumba wangu,tuna malengo mengi,,tupo pamoja mwaka wa 4 sasa!
Anadai kachoka kuvumilia,kwasababu ni mara ya 3 narudia kitendo hiki,. .Mara ya pili nilitia hadi tumakofi. . .
Anaheshima,katulia,mimi ndo nakuwaga kidogo nje ya mstari nikipasha sana!. .
Bado namtaka,nifanyeje kwa sasa!
Mimi nilijua utaacha pombe forever ili kuonyesha kweli unajutia matendo yako ya kilevi kumbe ni kwa 2 years only!?!yani unabadilika ili umu-win back na sio for the sake of yourself!poor you..maisha hayaendi hivyo unatakiwa wewe ndo uicontroll pombe na sio pombe ikucontroll wewe..
Kuna msemo wanasema wahenga kuwa maneno ya mlevi huwa ndiyo aliyonayo moyoni!Mimi naamini hizo kashfa ulizompa ulikuwa nazo siku nyingi tu moyoni mwako!Huyo mwanamke akikukubalia muendeleze mahusiano atakuwa hana akili!Wewe level zako tafuta ma-barmaid tu!Samahani sikutusi Mkuu lakini nakupa ushauri mwafaka!!
nimekusoma
nimeamua kuanza na 2years ili niweze kujipanga mwenyew upon the path i want to take,.Most of the time hata ninywe vipi sigombanagi kabisa,ila yeye anahofu sana kwa sasa sijaoa,na act childish,nikila kiapo ndo itakwaje?
U shouldn't worry about loosing her, unatakiwa ujihofie mwenyewe. Hiyo ndio tabia yako! Kama unataka kubadilika, badilika kwa ajili yako mwenyewe manake next utatukana mamako mzazi ama umpige mama mkwe afu shemeji zako waje kukutoa manundu kwa kukuchangia. Natamani nimuone huyo binti nimuambie akuache za maukwelikwelii! Siku mkiudhiana kwenye ndoa itakuwa kipigo na maneno.
Nenda rehab ama kwa maombi. Achana na pombe. Some of us ar living to the fullest, enjoying every free breath without alcohol!
hata mie nahofia hivyo hivyo!yani hujamuoa unampiga na kumtusi afu unasingizia pombe,je ukimuoa si ndio utarudi asubuhi??
Mwanaume anayejitambua hawi hivyo..
Kaumia sana moyoni,kwa kashfa nilizotoa,binafsi hata moja sikumaanisha! .
Jana kaniambia tuachane,imeniuma,nakumbembeleza ! Nimemwambia nastop pombe kwa 2years. . .
Ni mchumba wangu,tuna malengo mengi,,tupo pamoja mwaka wa 4 sasa!
Anadai kachoka kuvumilia,kwasababu ni mara ya 3 narudia kitendo hiki,. .Mara ya pili nilitia hadi tumakofi. . .
Anaheshima,katulia,mimi ndo nakuwaga kidogo nje ya mstari nikipasha sana!. .
Bado namtaka,nifanyeje kwa sasa!