Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Kaumia sana moyoni,kwa kashfa nilizotoa,binafsi hata moja sikumaanisha! .
Jana kaniambia tuachane,imeniuma,nakumbembeleza ! Nimemwambia nastop pombe kwa 2years. . .
Ni mchumba wangu,tuna malengo mengi,,tupo pamoja mwaka wa 4 sasa!
Anadai kachoka kuvumilia,kwasababu ni mara ya 3 narudia kitendo hiki,. .Mara ya pili nilitia hadi tumakofi. . .
Anaheshima,katulia,mimi ndo nakuwaga kidogo nje ya mstari nikipasha sana!. .
Bado namtaka,nifanyeje kwa sasa!
Mie nakushauri uisiache pombe, utakuwa unaongea na nani bwana!?
Usipende kukimbia mmatatizo, jitahidi kuishinda nguvu ya pombe.... inawezekana kabisa!
Jiulize mbona watu wengi tu wenye heshima zao (kama mimi hivi) wanakunywa pombe ilhali wanawaheshimu wake zao! kwanini wewe
ushindwe bwana?
Usijiendekeze, pome sio sumu,..... ukiwa unakunywa uwe unahakikisha unajitambua kabisa kuwa unakunywa pombe na ili uepuke kubwia mipombe mingi, ukishakunywa bia kama bia2 hivi kunywa maji kama lita moja hivi....uwe unakunywa kwa stahili ileile ya kunywa bia.....
Ikibidi badili kinywaji usitumie pombe zenye alkoholi nyingi sana!! Piga hata ....hapo vipi?
Mwombe radhi bibie tumia zile stahili za vitabuni, kama kwenda nae kwenye nyumba za ibada, kwenda nae kwenye shughuli mbalimbali kama vile mpirani n.k