Nilizani Makonda amepindua Serikali

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Nilisikia kuwa Makonda ameteka kituo cha redio,ibasi hapohapo nikasema kishapindua serikali ,kwa maana nimezoea kusikia wanaofanya mapinduzi huwa wanateka vituo vya redio,baadae tena ndio nikapata kilichojiri,ila nilistuka sana na kusema sasa kazi,na angechemsha akatangaza amefanya mapinduzi sijui jamaa yake angemfanya nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…