HongeraPole sana mkuu na happy birthday to you.
Hata kama ni utani huu umepitiliza.Bora ungeondoka ww yy abaki
Pole sana mkuuNdg zangu leo ni siku yangu ya kuzaliwa tulizaliwa mapacha kwa bahati mbaya mwenzangu alinitoka akiwa katika hatua ya kutembea nimekaa hapa nikimuwazia sana kwa uchungu kwa maana angekuwepo hadi leo tungeifurahia sote siku yetu pendwa yenye nane nane mbili nasi tukiwa wawili